CCM chama changu, Musiba anakibomoa chama na serikali

kifupi kirefu

JF-Expert Member
Oct 29, 2018
539
3,507
Yapo mambo yanayoitwa propaganda katika siasa, zamani propaganda hazikuitaji Sana ushahidi lakini Leo kila kitu kina ushahidi hivyo ukizungumza jitahkdi Sana kuwafikirisha watu.

Huyu Bwana Musiba alianza kidogo kidogo tukadhani anatusaidia ila Sasa hivi anakera,wazee na akina mama wanakereka na maneno yake...anatumia vibaya media alizokabidhiwa kuwatukana watanzania wengine na hivyo kuifanya serikali kuonekana ina double standards.

Ni kweli kwamba CCM imebaki na akina Musiba?Chama Dola kinaweza kuinvest kwa mtu Kama huyu? Bora akae kimya tuishi bila propaganda kuliko kuwa na mtu Kama huyu.Ukimsikiliza Sana utagundua anaudhalilisha uongozi wa Juu wa nchi yetu hasa pale anapotumia majina na vyeo vya viongozi wetu na wao wanakaa kimya.

Anatumia vibaya jina la Rais na hapa msemaji wa serikali lazima amkemee maana adhi ya Rais kuingizwa kwenye press zenye matusi na zisizo na hata chembe ya ustaarabu ni kumkosea heshima Rais.Ifike mahali atenganishe matumizi ya jina la Mhe.Rais na mambo mengine. Tusipoweza kukemea Leo tunawapa wenzetu uwanja wa kujipanga kujibu ambapo naamini wao watatumia watu wenye akili timamu na pona yetu itakuwa kuwakamata na kuwafungulia mashtaka Ila tumeyataka wenyewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yapo mambo yanayoitwa propaganda katika siasa, zamani propaganda hazikuitaji Sana ushahidi lakini Leo kila kitu kina ushahidi hivyo ukizungumza jitahkdi Sana kuwafikirisha watu.

Huyu Bwana Musiba alianza kidogo kidogo tukadhani anatusaidia ila Sasa hivi anakera,wazee na akina mama wanakereka na maneno yake...anatumia vibaya media alizokabidhiwa kuwatukana watanzania wengine na hivyo kuifanya serikali kuonekana ina double standards.

Ni kweli kwamba CCM imebaki na akina Musiba?Chama Dola kinaweza kuinvest kwa mtu Kama huyu? Bora akae kimya tuishi bila propaganda kuliko kuwa na mtu Kama huyu.Ukimsikiliza Sana utagundua anaudhalilisha uongozi wa Juu wa nchi yetu hasa pale anapotumia majina na vyeo vya viongozi wetu na wao wanakaa kimya.

Anatumia vibaya jina la Rais na hapa msemaji wa serikali lazima amkemee maana adhi ya Rais kuingizwa kwenye press zenye matusi na zisizo na hata chembe ya ustaarabu ni kumkosea heshima Rais.Ifike mahali atenganishe matumizi ya jina la Mhe.Rais na mambo mengine. Tusipoweza kukemea Leo tunawapa wenzetu uwanja wa kujipanga kujibu ambapo naamini wao watatumia watu wenye akili timamu na pona yetu itakuwa kuwakamata na kuwafungulia mashtaka Ila tumeyataka wenyewe

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu wakubwa wanapenda anayofanya Musiba kwa sababu nao ndicho wanachoweza.
 
Ukiona mtu anatumia jina la rais vibaya na kuangaliwa na kuchekewa na vyombo vya usalama, we tambua kuwa katumwa. Si umeona waziri wa mambo ya ndani anakopi kutoka kwake?!!!
 
Yapo mambo yanayoitwa propaganda katika siasa, zamani propaganda hazikuitaji Sana ushahidi lakini Leo kila kitu kina ushahidi hivyo ukizungumza jitahkdi Sana kuwafikirisha watu.

Huyu Bwana Musiba alianza kidogo kidogo tukadhani anatusaidia ila Sasa hivi anakera,wazee na akina mama wanakereka na maneno yake...anatumia vibaya media alizokabidhiwa kuwatukana watanzania wengine na hivyo kuifanya serikali kuonekana ina double standards.

Ni kweli kwamba CCM imebaki na akina Musiba?Chama Dola kinaweza kuinvest kwa mtu Kama huyu? Bora akae kimya tuishi bila propaganda kuliko kuwa na mtu Kama huyu.Ukimsikiliza Sana utagundua anaudhalilisha uongozi wa Juu wa nchi yetu hasa pale anapotumia majina na vyeo vya viongozi wetu na wao wanakaa kimya.

Anatumia vibaya jina la Rais na hapa msemaji wa serikali lazima amkemee maana adhi ya Rais kuingizwa kwenye press zenye matusi na zisizo na hata chembe ya ustaarabu ni kumkosea heshima Rais.Ifike mahali atenganishe matumizi ya jina la Mhe.Rais na mambo mengine. Tusipoweza kukemea Leo tunawapa wenzetu uwanja wa kujipanga kujibu ambapo naamini wao watatumia watu wenye akili timamu na pona yetu itakuwa kuwakamata na kuwafungulia mashtaka Ila tumeyataka wenyewe

Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo ndio msemaji wa Chama cha Majinga na serikali yake.
Kwani kuna mwenye akili zaidi yake huko?? labda chakubanga :p
 
Kuna watu kiboko..Membe alimtunishia msuri Bashiru akaufyata....Kweli CCM ina wenyewe
 
Back
Top Bottom