Mdau
JF-Expert Member
- Mar 29, 2008
- 1,789
- 470
Mabadiliko huletwa na kikundi cha watu wachache wenye mtizamo tofauti na wenye uwezo wa kubadilisha fikra za jamii.....I salute JF members (ingawa sio wote) kwamba wana mawazo`bora sana kwa jamii ya Watanzania........LAKINI, mbona tumejazana humu tukibadilishana mawazo kama kikao cha walevi bar?? Hivi ni watanzania wangapi wanafahamu mchakato wa yanayojadiliwa humu? MwanaHalisi wakiacha kuchapisha maoni kadhaa ya Mzee Mwanakijiji, hivi ni watanzania wangapi watapata japo kidogo toka humu??? Hebu tujaribu kubadilisha approach wajameni, JF ipo kwa wachache wenye huduma za internet, especially za bure maofisini, sasa basi,tuchekeche bongo zetu, tujue namna pana zaidi ya` kusaidia Wadanganyika......otherwise, CCM itaendelea kushika hatamu, wenyewe mmeona WALIOKUWA wanajiita WAPIGANAJI WA UFISADI>>>kwishneri habari yao!!! Ni maoni tu wadau.......