johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,902
- 141,844
Lydia Bupilipili ambaye ni DC wa wilaya ya Bunda amekataliwa na wanaccm wenzake kutokana na kushindwa kutoa ushirikiano wa kutosha kwa chama na madiwani wa majimbo yote mawili ya wilaya hiyo.
Aidha mkutano wa CCM wilaya umemuomba Rais Magufuli kumuondoa haraka bi Lydia wilayani humo na amuhamishie wilaya nyingine.
Naye mh Lydia alipohojiwa alisema yeye ni CCM kindakindaki na anawashangaa wajumbe kumhukumu bila ya kumpa fursa ya kujitetea.
Chanzo: Star tv habari!
Aidha mkutano wa CCM wilaya umemuomba Rais Magufuli kumuondoa haraka bi Lydia wilayani humo na amuhamishie wilaya nyingine.
Naye mh Lydia alipohojiwa alisema yeye ni CCM kindakindaki na anawashangaa wajumbe kumhukumu bila ya kumpa fursa ya kujitetea.
Chanzo: Star tv habari!