mgeni wenu
JF-Expert Member
- Jan 2, 2012
- 3,664
- 1,730
Chama cha Mapinduzi wilaya ya Bunda kinawatangazia wanachama wake au yoyote anaehitaji kujiunga na chama kuwa form za Ugombea Udiwani Kata ya Nyasura zitatokewa Bure,hii ni kutoka na kujitoa kwa wagombea wawili na kukosa Mgombea