Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,918
- 95,201
Kumbe jamaa ni wabaguzi sana
No ni wakiziba hawa ndio wanaukabila sio wakabwa.
No ni wakiziba hawa ndio wanaukabila sio wakabwa.
M7 alirudisha ufalme kwa Baganda lakini huoni huyo Ronald kugombea ubunge n.k na wao tamaduni zao na za muleba ni sawaWe ujui tamaduni zetu.
M7 alirudisha ufalme kwa Baganda lakini huoni huyo Ronald kugombea ubunge n.k na wao tamaduni zao na za muleba ni sawa
Waziba wabaguzi na wanajisikia sana. Wanawanyanyapaa Wanyambo Wahaya na wengine. Wanajiona Kagera ndio yao.Kumbe jamaa ni wabaguzi sana
Nyie Waziba mnaukabila sana.Wakabwa ndo nini unaongea ongea tu, we waambie ccm utaratibu ni hule hule kwa Bukoba Mjini.
Nyie Waziba mnaukabila sana.
Waziba wabaguzi na wanajisikia sana. Wanawanyanyapaa Wanyambo Wahaya wengine. Wanajiona Kagera ndio yao.
Hawa jamaa WAZIBA ndio wanaoharibu "image" nzima ya wahaya hadi kuonekana wahaya ni watu wa hovyo! Waziba wabaguzi hadi ile sera ya apartheid nadhani Afrika Kusini walikopi kutoka Buyango....ila Mungu ni wa ajabu sana, pigo la UKIMWI liliwasambaratisha sana kiasi kwamba sasa hivi Buyango wamejaa Wasubi na Warundi!Waziba wabaguzi na wanajisikia sana. Wanawanyanyapaa Wanyambo Wahaya wengine. Wanajiona Kagera ndio yao.
NdioKwani Wanyambo ni wahaya?
Ndio hayo ninayokuambia,wanawabagua wanasema ni Wanyarwanda. Lakini ni jamii ya wahaya. Wanawaona inferior sana.Kwani Wanyambo ni wahaya?
Sawa lakini si mambo ya kuendekeza maana ni hatari.Mmakonde na Mmawia siyo sawa! Mziba ndio original, tena wa Kanyigo. Msinipige mawe, naaema nilichoambiwa
Kuna mzee mmoja Mwanza duh alikuwa Mziba alikuwa na sebule mbili, moja ya watu nadhifu na wenye pesa,nyingine ya makapuku. Ila kama unavyosema bahati mbaya moto ulimpitia.Hawa jamaa WAZIBA ndio wanaoharibu "image" nzima ya wahaya hadi kuonekana wahaya ni watu wa hovyo! Waziba wabaguzi hadi ile sera ya apartheid nadhani Afrika Kusini walikopi kutoka Buyango....ila Mungu ni wa ajabu sana, pigo la UKIMWI liliwasambaratisha sana kiasi kwamba sasa hivi Buyango wamejaa Wasubi na Warundi!
Ndio hayo ninayokuambia,wanawabagua wanasema ni Wanyarwanda. Lakini ni jamii ya wahaya. Wanawaona inferior sana.
Hakuna mtu fake na original hapa duniani acha ufala.Mmakonde na Mmawia siyo sawa! Mziba ndio original, tena wa Kanyigo. Msinipige mawe, naaema nilichoambiwa
Hata ukimwambia Mnyambo kuwa kwao ni bukoba anakataa anasema kuwa kwao ni karagwe
Miaka yote wanaikataa Ccm. Kwani Kagasheki alikuwa mbunge wa Chadema au Cuf? acheni ubaguzi.Mkuu usisikilize propaganda Wahaya wanapatikana Bukoba mjini tu ndo maana wanaikataa ccm miaka yote.
Mkuu usisikilize propaganda Wahaya wanapatikana Bukoba mjini tu ndo maana wanaikataa ccm miaka yote.
Hakuna ubaguzi wowoteMiaka yote wanaikataa Ccm. Kwani Kagasheki alikuwa mbunge wa Chadema au Cuf? acheni ubaguzi.
Sawa lakini si mambo ya kuendekeza maana ni hatari.
Watu wetu ni wepesi sana ukiwasisimua tu wanalipuka kama moto wa petroli...hata Watusi na Wahutu ni lugha moja lakini waliposisimuliwa tuliuona mziki wake.