LATTICE BOND
JF-Expert Member
- May 30, 2011
- 219
- 48
Kwa mwenendo uliopo ndani ya vyama vikubwa vya upinzani yaani CHADEMA; CUF na NCCR-MAGEUZI sioni chama kinachoweza kutimiza utabiri wa Nyerere kuwa wapinzani wanaweza kuchukua nchi mwaka 2015. hizi ndizo sababu za kushindwa kwa utabiri wa Nyerere:-
1. Vyama vya upinzani vimeshindwa kufikisha ushawishi vijijini
2. Vyama vya upinzani vimeshindwa kupenyeza ushawishi kwa wafanyabiashara wakubwa
3. Vyama vya upinzani vumeshindwa kuingiza ushawishi kwa watendaji wataalam
4. Vyama vya upinzani vimeshindwa kuyaishi mawazo vinayodai kuwa ni mbadala kwa maendeleo ya nchi
5. LAST but not least; vyama vya upinzani vimeshindwa kutueleza vinafuata nadhalia ipi kati ya soko huria na soko kiritimba hali hii inadhihirisha nia dhalimu walio nayo hawa wapinzani!!
COCLUSION: Mnaoota ndoto za upinzani kushika nchi mwaka 2015 amkane na achaneni na hizo ndoto za mchana!!
1. Vyama vya upinzani vimeshindwa kufikisha ushawishi vijijini
2. Vyama vya upinzani vimeshindwa kupenyeza ushawishi kwa wafanyabiashara wakubwa
3. Vyama vya upinzani vumeshindwa kuingiza ushawishi kwa watendaji wataalam
4. Vyama vya upinzani vimeshindwa kuyaishi mawazo vinayodai kuwa ni mbadala kwa maendeleo ya nchi
5. LAST but not least; vyama vya upinzani vimeshindwa kutueleza vinafuata nadhalia ipi kati ya soko huria na soko kiritimba hali hii inadhihirisha nia dhalimu walio nayo hawa wapinzani!!
COCLUSION: Mnaoota ndoto za upinzani kushika nchi mwaka 2015 amkane na achaneni na hizo ndoto za mchana!!