Lord OSAGYEFO
JF-Expert Member
- Feb 19, 2021
- 3,086
- 4,881
Wakati Umefika sio kwa CCM TU bali kwa VYAMA VYOTE vya SIASA kuwa na VIONGOZI WASOMI na Wenye VYETI vya TAALUMU badala ya sasa Mtu anachaguliwa ili Mradi Kaomba hiyo Nafasi na ana FEDHA za KUWAHONGA wajumbe.
NCHI hii ina WASOMI WENGI SANA wasio na AJIRA na Wana TAALUMA nzuri ambazo WAKIPEWA UONGOZI watatumia ELIMU na TAALUMA zao KUWALETEA MAENDELEO WANANCHI.
CCM imejenga CHUO KIKUU cha UONGOZI KIBAHA ni Rahisi Kumpeleka MSOMI mwenye TAALUMA ili kumpiga MSASA kuliko hao Viongozi wasio na ELIMU au TAALUMA yoyote na Wamepata UENYEKITI wa Mkoa au Wilaya kwa KUHONGA WAJUMBE kwenye CHAGUZI.
Nakishauri Chama cha Mapinduzi CCM na VYAMA VINGINE Kifanye MABADILIKO haya kwenye UCHAGUZI wa VIONGOZI wake Unaotarajiwa kufanyika MWAKA huu 2022
NCHI hii ina WASOMI WENGI SANA wasio na AJIRA na Wana TAALUMA nzuri ambazo WAKIPEWA UONGOZI watatumia ELIMU na TAALUMA zao KUWALETEA MAENDELEO WANANCHI.
CCM imejenga CHUO KIKUU cha UONGOZI KIBAHA ni Rahisi Kumpeleka MSOMI mwenye TAALUMA ili kumpiga MSASA kuliko hao Viongozi wasio na ELIMU au TAALUMA yoyote na Wamepata UENYEKITI wa Mkoa au Wilaya kwa KUHONGA WAJUMBE kwenye CHAGUZI.
Nakishauri Chama cha Mapinduzi CCM na VYAMA VINGINE Kifanye MABADILIKO haya kwenye UCHAGUZI wa VIONGOZI wake Unaotarajiwa kufanyika MWAKA huu 2022