CCM - baada ya kifo, maombolezo na mazishi ya Hayati Dkt John Pombe Magufuli - tutawakabili CHADEMA, ACT, NCCR, CUF - Ofisi zao watafugia kuku

Ndugu Wana - CDM, ACT, NCCR, CUF hii ni taarifa kwenu kwamba baada ya kuhitimisha siku 21 za maombolezo ya kiongozi wetu Hayati Dkt John Pombe Magufuli sasa tutaelekeza nguvu zetu ktk kuwashughulikia kisiasa.

Demokrasia mnazoimbia Tanzania, Ubelgiji na Canada hatutataka kuzisikia - mkitaka demokrasia anzieni kwenye vyama vyenu vya siasa

- CHADEMA mbona mwenyekiti wenu kaongoza kwa mabavu kwa takriban robo karne lkn hamumfukuzi uenyekiti?

- ACT mbona kiongozi wa chama hakushirikisha mchakato wa kupata mgombea urais (Membe) lkn hamumfukuzi uongozi na uanachama?

- NCCR mbona mwenyekiti wenu kaongoza chama kwa zaidi ya miaka 20 lkn hamjamjadili kumuondoa ili apishe vijana wengine?

- CUF mbona mwenyekiti wenu ameongoza chama kwa miaka zaidi ya 25 pamoja na kujiuzuru na kurudi tena mbn hamjamfukuza uenyekiti na uanachama?

Demokrasia mnazoimbia majukwaani mbona hamzitendi kwenye vyama vyenu? Mbona hamjifunzi kutoka CCM ambayo tangu kuasisiwa kwa vyama vya siasa kimeshapata wenyeviti 4.

Charity starts at home - kama hamtafanya marekebisho CCM tupo tayari kugeuza Ofisi zenu kuwa mabanda ya kufugia kuku.
CCM Miaka 45 wenyeviti 4,chadema miaka 28 wenyeviti 3 huoni ccm ndiyo wanakanyaga demokrasia?
 
Ndugu Wana - CDM, ACT, NCCR, CUF hii ni taarifa kwenu kwamba baada ya kuhitimisha siku 21 za maombolezo ya kiongozi wetu Hayati Dkt John Pombe Magufuli sasa tutaelekeza nguvu zetu ktk kuwashughulikia kisiasa.

Demokrasia mnazoimbia Tanzania, Ubelgiji na Canada hatutataka kuzisikia - mkitaka demokrasia anzieni kwenye vyama vyenu vya siasa

- CHADEMA mbona mwenyekiti wenu kaongoza kwa mabavu kwa takriban robo karne lkn hamumfukuzi uenyekiti?

- ACT mbona kiongozi wa chama hakushirikisha mchakato wa kupata mgombea urais (Membe) lkn hamumfukuzi uongozi na uanachama?

- NCCR mbona mwenyekiti wenu kaongoza chama kwa zaidi ya miaka 20 lkn hamjamjadili kumuondoa ili apishe vijana wengine?

- CUF mbona mwenyekiti wenu ameongoza chama kwa miaka zaidi ya 25 pamoja na kujiuzuru na kurudi tena mbn hamjamfukuza uenyekiti na uanachama?

Demokrasia mnazoimbia majukwaani mbona hamzitendi kwenye vyama vyenu? Mbona hamjifunzi kutoka CCM ambayo tangu kuasisiwa kwa vyama vya siasa kimeshapata wenyeviti 4.

Charity starts at home - kama hamtafanya marekebisho CCM tupo tayari kugeuza Ofisi zenu kuwa mabanda ya kufugia kuku.
Una tumbo la kuhara, Ahsante umesikia harufu ya uharo wako.
 
Ndugu Wana - CDM, ACT, NCCR, CUF hii ni taarifa kwenu kwamba baada ya kuhitimisha siku 21 za maombolezo ya kiongozi wetu Hayati Dkt John Pombe Magufuli sasa tutaelekeza nguvu zetu ktk kuwashughulikia kisiasa.

Demokrasia mnazoimbia Tanzania, Ubelgiji na Canada hatutataka kuzisikia - mkitaka demokrasia anzieni kwenye vyama vyenu vya siasa

- CHADEMA mbona mwenyekiti wenu kaongoza kwa mabavu kwa takriban robo karne lkn hamumfukuzi uenyekiti?

- ACT mbona kiongozi wa chama hakushirikisha mchakato wa kupata mgombea urais (Membe) lkn hamumfukuzi uongozi na uanachama?

- NCCR mbona mwenyekiti wenu kaongoza chama kwa zaidi ya miaka 20 lkn hamjamjadili kumuondoa ili apishe vijana wengine?

- CUF mbona mwenyekiti wenu ameongoza chama kwa miaka zaidi ya 25 pamoja na kujiuzuru na kurudi tena mbn hamjamfukuza uenyekiti na uanachama?

Demokrasia mnazoimbia majukwaani mbona hamzitendi kwenye vyama vyenu? Mbona hamjifunzi kutoka CCM ambayo tangu kuasisiwa kwa vyama vya siasa kimeshapata wenyeviti 4.

Charity starts at home - kama hamtafanya marekebisho CCM tupo tayari kugeuza Ofisi zenu kuwa mabanda ya kufugia kuku.
ill tell you what man. vitisho havisaidi. ndio sababu inayoleta mipasuko kwenye jaamii.
you na makundi mengine mnao jiona kuwa mna right za hii nchi can go to hell.. f
 
Zwazwa katika ubora wake... Watu tunaomba umoja urudi wewe kwa kulinda tumbo lako na kujipendekeza unawanga kuturudisha tunapopambana kutoka... Pengine huna uwezo hata wa kukimbiza kuku na kuikamata...

Baada ya maombolezo ni restoration ya amani na umoja... Kenge wewe.
Nani kakuambia kuwa hatuna amani na umoja?
  • Hoja ya mwenyekiti wa CDM kuishi madarakani mbn hamuisemi (CDM mna muungu mtu?)
  • Hoja ya mwenyekiti wa NCCR kuhodhi madaraka mbn hamuisemi - hakuna mwenye sifa zaidi yake?
  • Hoja ya mwenyekiti wa CUF kudumu mbn hamuijibu?
  • Hoja ya ACT kumwinua membe bila vikao mbn hamuisemi?

Nawaambia kwa kuwa hamtaki ku-practice demokrasia ndani ya vyama vyenu CCM tunawafundisha. Mkikataa mafunzo Ofisi zenu zinakuwa mabanda ya kufugia kuku.
 
ill tell you what man. vitisho havisaidi. ndio sababu inayoleta mipasuko kwenye jaamii.
you na makundi mengine mnao jiona kuwa mna right za hii nchi can go to hell.. f
Sahau - nchi iko imara na hakuna muda wa kuwachekea tena
 
Ndugu Wana - CDM, ACT, NCCR, CUF hii ni taarifa kwenu kwamba baada ya kuhitimisha siku 21 za maombolezo ya kiongozi wetu Hayati Dkt John Pombe Magufuli sasa tutaelekeza nguvu zetu ktk kuwashughulikia kisiasa.

Demokrasia mnazoimbia Tanzania, Ubelgiji na Canada hatutataka kuzisikia - mkitaka demokrasia anzieni kwenye vyama vyenu vya siasa

- CHADEMA mbona mwenyekiti wenu kaongoza kwa mabavu kwa takriban robo karne lkn hamumfukuzi uenyekiti?

- ACT mbona kiongozi wa chama hakushirikisha mchakato wa kupata mgombea urais (Membe) lkn hamumfukuzi uongozi na uanachama?

- NCCR mbona mwenyekiti wenu kaongoza chama kwa zaidi ya miaka 20 lkn hamjamjadili kumuondoa ili apishe vijana wengine?

- CUF mbona mwenyekiti wenu ameongoza chama kwa miaka zaidi ya 25 pamoja na kujiuzuru na kurudi tena mbn hamjamfukuza uenyekiti na uanachama?

Demokrasia mnazoimbia majukwaani mbona hamzitendi kwenye vyama vyenu? Mbona hamjifunzi kutoka CCM ambayo tangu kuasisiwa kwa vyama vya siasa kimeshapata wenyeviti 4.

Charity starts at home - kama hamtafanya marekebisho CCM tupo tayari kugeuza Ofisi zenu kuwa mabanda ya kufugia kuku.
Aina hii ya kufikiri imepitwa na wakati. R.I.P Magufuli
 
Unavojishaua as if una uwezo hata wa kuendesha mtaa achilia mbali familia yako... Mama Samia si mtu wa mapambio na misifa... Pole
Nani kakuambia kuwa hatuna amani na umoja?
  • Hoja ya mwenyekiti wa CDM kuishi madarakani mbn hamuisemi (CDM mna muungu mtu?)
  • Hoja ya mwenyekiti wa NCCR kuhodhi madaraka mbn hamuisemi - hakuna mwenye sifa zaidi yake?
  • Hoja ya mwenyekiti wa CUF kudumu mbn hamuijibu?
  • Hoja ya ACT kumwinua membe bila vikao mbn hamuisemi?

Nawaambia kwa kuwa hamtaki ku-practice demokrasia ndani ya vyama vyenu CCM tunawafundisha. Mkikataa mafunzo Ofisi zenu zinakuwa mabanda ya kufugia kuku.
 
Unavojishaua as if una uwezo hata wa kuendesha mtaa achilia mbali familia yako... Mama Samia si mtu wa mapambio na misifa... Pole
Nani kakuambia kuwa hatuna amani na umoja?
  • Hoja ya mwenyekiti wa CDM kuishi madarakani mbn hamuisemi (CDM mna muungu mtu?)
  • Hoja ya mwenyekiti wa NCCR kuhodhi madaraka mbn hamuisemi - hakuna mwenye sifa zaidi yake?
  • Hoja ya mwenyekiti wa CUF kudumu mbn hamuijibu?
  • Hoja ya ACT kumwinua membe bila vikao mbn hamuisemi?

Nawaambia kwa kuwa hamtaki ku-practice demokrasia ndani ya vyama vyenu CCM tunawafundisha. Mkikataa mafunzo Ofisi zenu zinakuwa mabanda ya kufugia kuku.
 
Watu tunataka kurudisha umoja wa kitaifa ulianza kuharibiwa na magufuli na kundi lake la kina Ndugai wewe bado unataka kuendeleza chuki!

Mkituzingua tunaanza tena maombi. Kumbuka maombi ya kwanza yalijibiwa tarehe 17 mwezi huu.Na zamu hii itakuwa kwa ndugai.
Makada wa ccm sio wabunifu wengi vilaza wanawaaminisha viongozi wao kuwa adui number mmoja ni chadema hivyo wanaanza kuporomosha matusi na kejeri na wengine kuteka kuumiza ili wapate vyeo,mambo yamsingi hawana uwezo wa kuyakabiri,kiongozi mpuuzi anaingiza upepo na kuwa teua hao vilaza matokeo yake mabaraza na vikao inakuwa kama shule ya chekechea hanna watu wa kutoa pointi
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom