Levels baby
JF-Expert Member
- Sep 26, 2019
- 831
- 768
Wanajamvi,
Kwenye hili linaloendelea katika uchaguzi wa mwaka huu,mimi nikiwa kama mwana CCM lakini ile asilia ambayo inaheshimu sana msingi wa demokrasia na tunaheshimu maneno kuwa hakuna ushindi mtamu kama kushindana katika jukwaa huru na kila mtu apewe nafasi.
Nikiri kwamba hamna kosa ambalo tunajuta na hatutakuja kulirudia tena kama tulichokifanya mwaka 2015, kamwe hatuji kurudia tena katika maisha yetu na hata wajukuu tutakaowaachia hiki chama mana tulipokosea tumepaona.
Tunawaomba radhi wananchi hatuji kurudia tena makosa haya kamwe.
Kwenye hili linaloendelea katika uchaguzi wa mwaka huu,mimi nikiwa kama mwana CCM lakini ile asilia ambayo inaheshimu sana msingi wa demokrasia na tunaheshimu maneno kuwa hakuna ushindi mtamu kama kushindana katika jukwaa huru na kila mtu apewe nafasi.
Nikiri kwamba hamna kosa ambalo tunajuta na hatutakuja kulirudia tena kama tulichokifanya mwaka 2015, kamwe hatuji kurudia tena katika maisha yetu na hata wajukuu tutakaowaachia hiki chama mana tulipokosea tumepaona.
Tunawaomba radhi wananchi hatuji kurudia tena makosa haya kamwe.