Mkya
JF-Expert Member
- Dec 15, 2013
- 667
- 94
kitendo cha ccm kuwapa chadema nafasi ya naibu meya ni kitendo chakiungwana sana chadema wana wajumbe kumi na sita ndani ya baraza madiwani wao na wabunge wanaoingia halmashaur
ccm na TLP wana wajumbe kumi na sita kama wangeingia kwenye kura leo basi wangetoka droo na hiyo nafasi ingebakia haina mtu lakini ccm kwa hekima zao na busara wameamua kuipa chadema
kwa umoja huu na m shikamoo huu nadhani ndiyo mwisho wa damu isiyo na hatia kumwagika Arusha
ccm na TLP wana wajumbe kumi na sita kama wangeingia kwenye kura leo basi wangetoka droo na hiyo nafasi ingebakia haina mtu lakini ccm kwa hekima zao na busara wameamua kuipa chadema
kwa umoja huu na m shikamoo huu nadhani ndiyo mwisho wa damu isiyo na hatia kumwagika Arusha