babalao 2
JF-Expert Member
- Apr 6, 2012
- 5,398
- 3,243
Mjadala mkubwa hapa nchini ni juu ya vyama viwili CCM na CHADEMA.
CCM kwa nguvu zote wanajitahidi kutuaminisha kuwa adui yao ni adui wa Watanzania wote ambae ni CHDEMA. Wao wanadai CHADEMA husema kwamba CCM hawajafanya kitu cha maana ktk ujenzi wa Taifa bora la Tzania zaidi ya kufisadi rasilimali za taifa. Hii huonekana katika vikao vya ndani na majukwaani lazima utasikia wakisema CHADEMA lengo lao ni kuvuruga amani na pia wanarudisha nyuma maendeleo ya nchi hivyo wasipate nafasi ya kuongoza nchi.
Kwa upande wa CHADEMA wao husema wazi ya kuwa adui namba moja kwa watanzania ni CCM japokuwa tuliaminishwa na BABA WA TAIFA KUWA MAADUI WETU NI MARADHI UJINGA NA NJAA wao husema yote hayo husababishwa na UFISADI. Ufisadi huo umesimikwa na CCM na umekuwa sugu mpaka wao CCM wameufananisha na GAMBA. Falisafa ya CHADEMA wanasema ukiuchukia ufisadi ni sawa na umeichukia CCM na ukichukua CCM ni sawa na kuchukia ufisadi. Matatizo ya nchi hii ni MATOKEO YA URAFIKI WA CCM NA UFISADI.
MFANO kuna watu ndani ya CCM waligundua kuwa adui wa CCM ni UFISADI na wala si CHADEMA hakika walipata maonyo makali na kuombwa wahamie CHADEMA ili wasemee Ufisadi wakiwa nje.
CCM ADUI YENU SI CHADEMA NI UFISADI MLIOUKUMBATIA.
CCM kwa nguvu zote wanajitahidi kutuaminisha kuwa adui yao ni adui wa Watanzania wote ambae ni CHDEMA. Wao wanadai CHADEMA husema kwamba CCM hawajafanya kitu cha maana ktk ujenzi wa Taifa bora la Tzania zaidi ya kufisadi rasilimali za taifa. Hii huonekana katika vikao vya ndani na majukwaani lazima utasikia wakisema CHADEMA lengo lao ni kuvuruga amani na pia wanarudisha nyuma maendeleo ya nchi hivyo wasipate nafasi ya kuongoza nchi.
Kwa upande wa CHADEMA wao husema wazi ya kuwa adui namba moja kwa watanzania ni CCM japokuwa tuliaminishwa na BABA WA TAIFA KUWA MAADUI WETU NI MARADHI UJINGA NA NJAA wao husema yote hayo husababishwa na UFISADI. Ufisadi huo umesimikwa na CCM na umekuwa sugu mpaka wao CCM wameufananisha na GAMBA. Falisafa ya CHADEMA wanasema ukiuchukia ufisadi ni sawa na umeichukia CCM na ukichukua CCM ni sawa na kuchukia ufisadi. Matatizo ya nchi hii ni MATOKEO YA URAFIKI WA CCM NA UFISADI.
MFANO kuna watu ndani ya CCM waligundua kuwa adui wa CCM ni UFISADI na wala si CHADEMA hakika walipata maonyo makali na kuombwa wahamie CHADEMA ili wasemee Ufisadi wakiwa nje.
CCM ADUI YENU SI CHADEMA NI UFISADI MLIOUKUMBATIA.