CCM acheni utani na watanzania: Kweli kuzibua mitaro na kufyeka barabara mnazihesabu kama ajira za kuongeza?

Mtini

JF-Expert Member
Apr 28, 2011
1,487
2,344
IMG_20200926_145436.jpg
 
Hizi ndio miongoni mwa kazi mill 8 mlizoahidi?.

Siwezi yashangaa maccm kama yanasema kuwa na cherehani mbili tayari nikiwanda.
Nitajie nchi gani duniani hakuna wasafisha mitaro, wazibua vyoo au wasafisha barabara, tofauti ni vitendea kazi na msalahi tuu hila, hizo kazi zipo duniani kote na watu wanaziitaji hata hapa tanzania
 
Nitajie nchi gani duniani hakuna wasafisha mitaro, wazibua vyoo au wasafisha barabara, tofauti ni vitendea kazi na msalahi tuu hila, hizo kazi zipo duniani kote na watu wanaziitaji hata hapa tanzania
Maslahi...
 
Back
Top Bottom