Mtandao umedukukiwaPolepole hebu jitokeze katika hili
Polepole hebu jitokeze katika hili
Kwani watakua wanafanya bure au wanalipwa, hizo ni kazi kama kazi nyingine, heshimu kazi za watu.
Hizi ndio miongoni mwa kazi mill 8 mlizoahidi?.Kwani watakua wanafanya bure au wanalipwa, hizo ni kazi kama kazi nyingine, heshimu kazi za watu.
Nitajie nchi gani duniani hakuna wasafisha mitaro, wazibua vyoo au wasafisha barabara, tofauti ni vitendea kazi na msalahi tuu hila, hizo kazi zipo duniani kote na watu wanaziitaji hata hapa tanzaniaHizi ndio miongoni mwa kazi mill 8 mlizoahidi?.
Siwezi yashangaa maccm kama yanasema kuwa na cherehani mbili tayari nikiwanda.
Ccm imefilisika
Maslahi...Nitajie nchi gani duniani hakuna wasafisha mitaro, wazibua vyoo au wasafisha barabara, tofauti ni vitendea kazi na msalahi tuu hila, hizo kazi zipo duniani kote na watu wanaziitaji hata hapa tanzania
Sio watoto wetu tuu hata watoto zako pia na wewe mwenyewe, utapatiwa hizi kazi.Wekeni na watoto wenu kama hizo ni kazi nzuri,
Zamani kuokota makopo ilikuwa kazi ya vichaa sasa sikuhizi kumbe ni ajira rasmiHata kuokota chupa za plastic ni ajira Kwa mujibu wa CCM