G'taxi
JF-Expert Member
- Sep 15, 2013
- 6,560
- 8,425
Acha kujidanganya wewe...kina Mrema waliishia wapi
JAH Rastafari Morning Africa.Trust JAH respect nature
Hakuna mtu wa kukiua chadema hata wakinunuliwa wakina Lissu na Mbowe kwa sababu moja tu chadema imeshakuwa kwenye utamaduni wa maisha ya watanzania walio wengi na ilijengwa kitaasi hata siku mbowe akinunuliwa ajue atatukanwa vya kutosha na watu watamsahau kama dr slaa.
Ogopa sana Ideology uwa inakaa kwenye ubongo na inaenda zaidi kwenye damu. kitu kikishafikia apo kukiua labda ufanye mauaji kwa watu wake ila sio mfumo wanaotumia kununua na kutesa viongozi.
JAH Rastafari Morning Africa.Trust JAH respect nature