Subiri tushike sasa OCTOBER sio Mbali. Si alishawaachia wapiga dili?Miaka yote alokaa CHADEMA mbona hakuifanya ishike dola?
Mwanasiasa bora anayummbishwa na mwanamke?
Sent using Jamii Forums mobile app
Subiri tushike sasa OCTOBER sio Mbali. Si alishawaachia wapiga dili?Miaka yote alokaa CHADEMA mbona hakuifanya ishike dola?
Mwanasiasa bora anayummbishwa na mwanamke?
Sent using Jamii Forums mobile app
Tukiweza kutimiza suala LA Katiba ya Wananchi ambayo ndani yake tutaweka mifumo imara ya uchaguzi wa haki,Huru na kuheshimu uamuzi wa wapiga kura nchi hii itapaa kimaendeleo.Watu wake watarudiwa na uhai na furaha.Nchi ya Ahadi.Hii mambo ya kuwaza kuangamiza mawazo ni tatizo lililoibua Corona.
Watu katili Duniani hua ni watu waoga sana kwenye kushindana kwa hoja.
Corona ni matokeo ya watu wachache wabinafsi wanaowaza kuitawala Dunia kiuchumi na kisiasa baada ya kufanikiwa kutawala vinchi vyao.
Baada ya CCM kutawala kwa nusu karne wanajisahau kuwa kizazi kilichopo hakiijui CCM kinafuata Sera na Fedha tu kwenye Chama chochote.
Kuhalalisha uhai wa CCM zaidi ni jambo gumu sana mana wenye chama wengi ni wazee na wapo kujaribu kuwarithisha watoto wao na marafiki zao ili kulinda Mali zao walizopora toka kwenye mashirika ya umma.
CCM hakuna wanachowaza kwa sasa zaidi ya hofu ya kutolewa madarakani utafikiri hicho chama kimeanzishwa na Mungu wakati anaumba dunia kumbe ni chama kama vyama vingine.
Tume huru ya Uchaguzi itatuongezea thamani ya ubinadamu wetu na utashi wetu.
Kukosa tume huru ni kuonyesha ulimwengu jinsi Haki inavyokanyagwa halafu tunamuomba Mungu atutendee mema ili hali tunatendeana dhulma ya wazi na inayohalalishwa kinyume cha Katiba na sheria tulizojiwekea.
Sent using Jamii Forums mobile app
Fafanua polisi wanatumikaje? Maana ukifanya kosa vyombo vya dola lazima vikukamate. Mfano kuna jengwa reli ukiiba nondo polisi wanakukamata.Sasa hapo kuna tatizo?Hofu ya nn Kama wanaamini wanatenda Kweli na sio propaganda kwann wategemee polisi na sio natural laws,
Nianze kwa kuwatoa hofu dhidi ya corona virus ila niwasihi kufwata maagizo ya wataalam wa afya
Wakuu juzi nilibahatika kukutana na mmoja kati ya wakubwa wa chama cha mapinduzi mkoani Arusha katika stori mbili tatu alinambia kuwa moja ya kazi ngumu ambayo CCM na serikali inakaribia kutushinda ni kuiangamiza CHADEMA.
Kasema kuwa CHADEMA kiliachwa kikajijenga sana hivyo imekuwa vigumu mno kukiua alisema pia kuwa moja kati ya viongozi waloisuka CHADEMA ikaimarika ni Dr.Slaa.
My take:
Slaa kwa sasa ni CCM, atupe mbinu alizotumia kukijenga chama hiki ili tuitumie kukiangamiza
Dr. Slaa, Prof. Safari., Dr. MASHINJI, Prof. Kitila etc. Wewe unamjua Waitara tu! Wapo wengi...Imebaki miamba ccm imenunua mizoga isiyo na tija badala ya Kununua wapiga kura wananunua magarasa kama waitara,molel,calist,karanga hadi sasa hakuna chuma chochote kilichoumizwa kimekubali kuusujudia msalaba,
Ushamba mzigo umekuja mjini MKubwa ndo ushindane na waliozaliwa mjini?Huwezi uuwa upinzani Kwa kuufanya adui,wala polisi hawatoweza wasaidia.Ukitaka kuuwa upinzani tatua shida za watz tatua njaa,afya,Kilimo, elimu ndio vimgusavyo mtz na sio ndege, SGR, Dodoma, chato kwann upinzani usiwe imara?
CDM ni chama cha wasomi/ uwez kukiangamiza labda ACT na tuvyama tuingine TWA wasakatonge.
nani msomi ndani ya CDM?CDM ni chama cha wasomi/ uwez kukiangamiza labda ACT na tuvyama tuingine TWA wasakatonge.
Hata DP ya Mtikila bado iko mioyoni mwa watu. Hata ASP ya Z'bar bado iko mioyoni mwa watu. Tatizo ni kwa umuhimu gani?Hakuna mtu wa kukiua chadema hata wakinunuliwa wakina Lissu na Mbowe kwa sababu moja tu chadema imeshakuwa kwenye utamaduni wa maisha ya watanzania walio wengi na ilijengwa kitaasi hata siku mbowe akinunuliwa ajue atatukanwa vya kutosha na watu watamsahau kama dr slaa.
Ogopa sana Ideology uwa inakaa kwenye ubongo na inaenda zaidi kwenye damu. kitu kikishafikia apo kukiua labda ufanye mauaji kwa watu wake ila sio mfumo wanaotumia kununua na kutesa viongozi.
Msomi gani aliyeenda CCM? Au niulize ni mwanachama gani wa maana ambaye hakuwahi kuwa CCM? Mnyika?Wanachama wengi niwasomi Tofauti na ccm mkuu ndo maana unaona wakienda ccm wanapata vyeo .
duh! bora labda kwa familia yakoHijja Madava, Acheni kumuhusisha Dr Slaa na upuuzi. Ndiye mwanasiasa bora wa Karne nje ya Baba wa Taifa, hutaki shauri yako.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata akiondoka nani chadema itabaki daimaHakuna mtu wa kukiua chadema hata wakinunuliwa wakina Lissu na Mbowe kwa sababu moja tu chadema imeshakuwa kwenye utamaduni wa maisha ya watanzania walio wengi na ilijengwa kitaasi hata siku mbowe akinunuliwa ajue atatukanwa vya kutosha na watu watamsahau kama dr slaa.
Ogopa sana Ideology uwa inakaa kwenye ubongo na inaenda zaidi kwenye damu. kitu kikishafikia apo kukiua labda ufanye mauaji kwa watu wake ila sio mfumo wanaotumia kununua na kutesa viongozi.
Kweli kabisa hata pesa za kuwatoa kina mbowe hazijachangwa na wananchiCHADEMA ipo mitandaoni tu mkuu!!
Toka nyuma ya Keyboards... Tembea mijini na vijijini ukaupime upepo. CDM haipo brother
Ndio msomi mwita waitara na yule diwani.CDM kilikuwa chama cha wasomi hapo zamani. Lakini sasa wote wameondoka na kujiunga na CCM!
KakaNianze kwa kuwatoa hofu dhidi ya corona virus ila niwasihi kufwata maagizo ya wataalam wa afya
Wakuu juzi nilibahatika kukutana na mmoja kati ya wakubwa wa chama cha mapinduzi mkoani Arusha katika stori mbili tatu alinambia kuwa moja ya kazi ngumu ambayo CCM na serikali inakaribia kutushinda ni kuiangamiza CHADEMA.
Kasema kuwa CHADEMA kiliachwa kikajijenga sana hivyo imekuwa vigumu mno kukiua alisema pia kuwa moja kati ya viongozi waloisuka CHADEMA ikaimarika ni Dr.Slaa.
My take:
Slaa kwa sasa ni CCM, atupe mbinu alizotumia kukijenga chama hiki ili tuitumie kukiangamiza
Ndo ujue hakifi. Kama kilikosa agenda 2015 hushangai kwa nini hakijafa? Kama wamesurvival tena bila kua na agenda huoni kama ni uthibitisho hakitakuafa.Chadema hii hii iliyokosa agenda post 2015?
Mkuu umenikumbusha mbaliii Reys kahongwa milion mbili na CCMKaka
Habari za hapo Kighare. Mwaka 2015 tulipambana sana kumng'oa Maghembe lkn mambo yalikwama.
Rays naye kaamua kurudi CCCM.
Sent using Jamii Forums mobile app
Samahani kwa kujadiliana na wewe maana unavyoandika tu inatosha kufunga mjadala.Kwani wenzio uwaoni akina shonza wanavyokula keki ya Taifa lakin kuna wanaccm kibao ambao awakusoma wanaia na Mungu wao.
Sa
sawa najua nyie mliopata four ya 33 mnavyokuaga wakali
Hiyo chadema ina watu wangapi hapo juu wanaoweza kuongoza nchi?wana uwezo upi unaouona wewe wa kusema chama kimejijenga pakubwa?hayo ni maneno maneno tuNianze kwa kuwatoa hofu dhidi ya corona virus ila niwasihi kufwata maagizo ya wataalam wa afya
Wakuu juzi nilibahatika kukutana na mmoja kati ya wakubwa wa chama cha mapinduzi mkoani Arusha katika stori mbili tatu alinambia kuwa moja ya kazi ngumu ambayo CCM na serikali inakaribia kutushinda ni kuiangamiza CHADEMA.
Kasema kuwa CHADEMA kiliachwa kikajijenga sana hivyo imekuwa vigumu mno kukiua alisema pia kuwa moja kati ya viongozi waloisuka CHADEMA ikaimarika ni Dr.Slaa.
My take:
Slaa kwa sasa ni CCM, atupe mbinu alizotumia kukijenga chama hiki ili tuitumie kukiangamiza