CCM acheni kuogopa Katiba mpya, inawezekana ikawa ndiyo mwokozi wenu

Fasta fasta

JF-Expert Member
Feb 15, 2011
1,126
725
Habari wadau,

CCM inasema Katiba mpya sio kipao mbele chao kwa awamu hii, lakini nikiangalia najiuliza kwanini wanaiogopa katiba mpya wakati ni mustakali wa taifa letu?

Tumwombe Rais Mama yetu iundwe tume huru kila wilaya yenye mchanganyiko wa vyama vyote, hata kwa siku tatu waingie mitaani watuletee maoni ya wananchi kuhusu katiba mpya.

Hata kama hakuna posho watu watalifanyia kazi. Labda serikali iwajibike kwenye usafiri na usalama wa hawa watu wanaochukua maoni. Acheni kujificha kwenye katiba ya zamani. Katiba mpya inaweza ikawa na uwanja mpya wa mapalbano kwa maisha ya leo. Vijana wa Kitanzania mpoo!

Vijana wa CCM amkeni mnakojiingiza na hii Katiba ya zamani mtakuja kujuta. Mtawasafishia wenzenu njia lakini nyinyi sijui Nani atakuja kuwasafishia. Angalieni kesho usiangalie la Jana

Amkeni amkeni nawaambia amkeni, acheni utundu.
 
Huo ni mwisho wa CCM
Siyo mwisho wa CCM tu. Unaweza kuwa mwisho wa chama chochote, ndio maana hakuna mwanasiasa asiyeipenda hiyo katiba ya zamani.

Hata ikitokea leo, CHADEMA wamepata madaraka ndani ya katiba hii hii, sahau katiba ya Warioba.

Katiba ya Warioba inapendwa na wananchi pekee.
 
Uwepo wa CCM mpaka leo unategemea katiba iliyopo tu. Wakiibadilisha na wao chali. Hawawezi kukubali katiba mpya.
 
Tufanyaje?
Tanzania imeshabadilika sio ile ya mapambio ya Komba. Isomeni katiba mpya ya Warioba mjue jinsi ya kupambana na changamoto ambazo mnaona zinawabana.

Kumbukeni vijana wanaendelea kuitafuta katiba mpya kwa nguvu. Mtafikia mahali kamba itawakaba koo. Hata dola wataitaka hiyo katiba mpya. Someni nyakati zinabadilika.
 
Hilo ndilo kabur lao
Habari wadau,

CCM inasema Katiba mpya sio kipao mbele chao kwa awamu hii, lakini nikiangalia najiuliza kwanini wanaiogopa katiba mpya wakati ni mustakali wa taifa letu?

Tumwombe Rais Mama yetu iundwe tume huru kila wilaya yenye mchanganyiko wa vyama vyote, hata kwa siku tatu waingie mitaani watuletee maoni ya wananchi kuhusu katiba mpya.

Hata kama hakuna posho watu watalifanyia kazi. Labda serikali iwajibike kwenye usafiri na usalama wa hawa watu wanaochukua maoni. Acheni kujificha kwenye katiba ya zamani. Katiba mpya inaweza ikawa na uwanja mpya wa mapalbano kwa maisha ya leo. Vijana wa Kitanzania mpoo!

Vijana wa CCM amkeni mnakojiingiza na hii Katiba ya zamani mtakuja kujuta. Mtawasafishia wenzenu njia lakini nyinyi sijui Nani atakuja kuwasafishia. Angalieni kesho usiangalie la Jana

Amkeni amkeni nawaambia amkeni, acheni utundu.
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom