Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 18,042
- 33,527
Nikiyaangalia matukio yaliyotokea hivi karibuni na kukumbuka yale yaliyowahi kutokea hapa nchini mwetu kwa upande wa Siasa, nimefikia hitimisho kwamba ili nchi hii isonge mbele ni lazima CCM iache fikra na matendo ya kuhodhi nchi yetu ya Tanzania kama ni mali yao peke yao.