Chifu Nsyepa
Senior Member
- Jul 9, 2016
- 106
- 98
Chakaza kama nchi inaendeshwa ki ubabe sembuse chama? Si waliipenda wenyewe waache waendelee kuisoma namba!Lakini kwani chama cha siasa huwa ni ubabe au ni ushawishi na hoja? Ubabe kama utakuwepo kwa vyama vichanga sio jambo la ajabu sana, lakini ubabe katika vyama vikongwe hapa Afrika kama CCM ni jambo la aibu sana na lisilotegemewa.
Mbona ANC inaweza kuruhusu demokrasia ndani ya chama chao lakini CCM inaogopa?