CCM acheni kufanya biashara ya elimu, nchi hii ni yetu wote

Hismastersvoice

JF-Expert Member
Jan 26, 2013
18,387
21,874
Chama cha Mapinduzi Manyara kimeshauri CCM nchi mzima ianzishe biashara ya shule za Jumuiya ya Wazazi! Elimu haitakiwi kufanywa biashara tena na chama kilichopo madarakani, taswira inayoonekana ni kuwa vyama vitakuwa vinanyang'anya ushindi wa uchaguzi mkuu ili viweze kufanya biashara ya elimu! Na huenda ndicho kilichofanyika uchaguzi uliopita.
 
Hela za ruzuku zinawawashawasha... wanaweza kufanya wakitaka maana ni mabilion ya shilling mengi watapata kila. Mwezi baada ya kufanikiwa kuua upinzani nchini kwa hila
 
Ndani ya muda wa miaka miwili toka sasa, yaani ifikapo mwaka 2022 kuelekea 2023 ndipo Watanzania watakapo elewa umuhimu wa vyama vya upinzani. Watawala waliokosa maono wataanza kutafuta kila aina ya kisingizio cha kushindwa kutekeleza ilani ya chama chao.

Nafasi ya kumtafuta mrithi wa aliyepo madarakani kwa hivi sasa itakuwa ni mwiba mkali kwao. Na kwa haiba na hulka zake za kiuongozi ni lazima patatokea patashika nguo kuchanika. Hii si ramli chonganishi isipokuwa ni jambo lenye kusubiri wakati wake maalum wa kufikia utimilifu wote.

Sent from my Nokia 2.1 using JamiiForums mobile app
 
Chama cha Mapinduzi Manyara kimeshauri CCM nchi mzima ianziishe biashara ya shule za Jumuia ya Wazazi! Elimu haitakiwi kufanywa biashara tena na chama kilichopo madarakani, taswira inayoonekana ni kuwa vyama vitakuwa vinanyang'anya ushindi wa uchaguzi mkuu ili viweze kufanya biashara ya elimu! Na huenda ndicho kilichofanyika uchaguzi uliopita.

Mbona shule za jumuia ya wazazi wa CCM zipo siku nyingi sana!?hazijaanza leo....TEGETA SECONDARY, SANGU SECONDARY, META SEC na nyingine nyingi ni baadhi ya shule za jumuia ya wazazi wa CCM.
 
Mbona shule za jumuia ya wazazi wa CCM zipo siku nyingi sana!?hazijaanza leo....TEGETA SECONDARY,SANGU SECONDARY,META SEC na nyingine nyingi ni baadhi ya shule za jumuia ya wazazi wa CCM.
Mimi ninaijua vizuri Meta nilisoma hapo ikiwa Middle School shule ya serikali ila cha ajabu CCM waliipora, Sangu pia haikuwa ya CCM na ilianzia karibuni ya kanisa la Anglikana, shule ya wazazi TAPA ilikuwa mabatini karibuni ya hosipitali, CCM ilichukua baadhi ya shule zilizokuwa za halmashauri ya serikali za mitaa kama ilivyopora viwanja vya mpira. CCM kuigeuza elimu kuwa kitegauchumi ni kutoelewa wajibu wao wa uongozi kwani wataua shule za serikali ili zao zipate wanafunzi, pia watang'ang'ania madaraka kwa halinamali ili kulinda biashara yao.
 
Chama cha Mapinduzi Manyara kimeshauri CCM nchi mzima ianzishe biashara ya shule za Jumuiya ya Wazazi! Elimu haitakiwi kufanywa biashara tena na chama kilichopo madarakani, taswira inayoonekana ni kuwa vyama vitakuwa vinanyang'anya ushindi wa uchaguzi mkuu ili viweze kufanya biashara ya elimu! Na huenda ndicho kilichofanyika uchaguzi uliopita.
Tangu lini CCM ikawa na nia njema na watanzania?
 
Jumuiya ya wazazi CCM ina shule zake toka siku nyingi sana ndugu, binafsi ni matunda ya shule hizo nikiwa nimesoma Lomwe High School, Usangi, Mwanga,Kilimanjaro.

Hakika CCM ni chama cha mfano Tanzania nawashukuru kwa elimu nzuri waliyonipatia.
 
Jumuiya ya wazazi CCM ina shule zake toka siku nyingi sana ndugu, binafsi ni matunda ya shule hizo nikiwa nimesoma Lomwe High School, Usangi, Mwanga,Kilimanjaro.

Hakika CCM ni chama cha mfano Tanzania nawashukuru kwa elimu nzuri waliyonipatia.
Muathirika wa ujinga wa elimu ya CCM unashukuru kwa kufanywa mjinga!
 
Chama cha Mapinduzi Manyara kimeshauri CCM nchi mzima ianzishe biashara ya shule za Jumuiya ya Wazazi! Elimu haitakiwi kufanywa biashara tena na chama kilichopo madarakani, taswira inayoonekana ni kuwa vyama vitakuwa vinanyang'anya ushindi wa uchaguzi mkuu ili viweze kufanya biashara ya elimu! Na huenda ndicho kilichofanyika uchaguzi uliopita.

Serikali ya CCM imeshagundua kosa lililofanyika hadi elimu kuwa biashara, tena biashara inayojenga matabaka kwenye jamii.
Kazi ya kumshughulikia hili inaendelea vizuri.... elimu bora ni haki ya kila mtanzania
 
Chama cha Mapinduzi Manyara kimeshauri CCM nchi mzima ianzishe biashara ya shule za Jumuiya ya Wazazi! Elimu haitakiwi kufanywa biashara tena na chama kilichopo madarakani, taswira inayoonekana ni kuwa vyama vitakuwa vinanyang'anya ushindi wa uchaguzi mkuu ili viweze kufanya biashara ya elimu! Na huenda ndicho kilichofanyika uchaguzi uliopita.
Hivi kile Chuo kikuu cha siasa na propaganda cha ccm kule kwa mfipa,,kinatoa course gani?
Au ni siasa tu?
Na wakisema propaganda wanamaanisha nn?

Kweli siasa ni uongo mtupu.
 
Waliochagua kufanya biashara ya elimu wajitafakari upya kama ni biashara sahihi na biashara endelevu kwao
 
Hivi kile Chuo kikuu cha siasa na propaganda cha ccm kule kwa mfipa,,kinatoa course gani?
Au ni siasa tu?
Na wakisema propaganda wanamaanisha nn?

Kweli siasa ni uongo mtupu.
Ni mchinamchina, CCM inalenga kutawala vilaza ikipiga vita elimu, ujinga wetu ndiyo fahari kwa CCM.
 
Tangu lini CCM ikawa na nia njema na watanzania?
Polepole alisema CCM itatawala zaidi ya miaka 90 ijayo akijua ajenda iliyoko ndani mwao huu us elimu isiyokidhi viwango ambavyo itawezesha kuwa na taifa la vilaza wanaotawalika kirahisi.
 
Polepole alisema CCM itatawala zaidi ya miaka 90 ijayo akijua ajenda iliyoko ndani mwao huu us elimu isiyokidhi viwango ambavyo itawezesha kuwa na taifa la vilaza wanaotawalika kirahisi.
Kwani lazima usome shule za CCM!?
 
Serikali ya CCM imeshagundua kosa lililofanyika hadi elimu kuwa biashara, tena biashara inayojenga matabaka kwenye jamii.
Kazi ya kumshughulikia hili inaendelea vizuri.... elimu bora ni haki ya kila mtanzania
matabaka hayakosi hata mbinguni yako makelabi na maserafi hawawezi kuwa sawa na malaika wengine. House boy hawezi lalia kitanda chako hata km haupo mwaka mzima labda aibie ibie.
 
5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom