Kifaurongo
JF-Expert Member
- Jan 18, 2010
- 4,217
- 2,354
Inashangaza! Ina maana hujui Jumuia ya wazazi ina shule za sekondari maeneo mbalimbali ya nchi tangu enzi za TANU?Chama cha Mapinduzi Manyara kimeshauri CCM nchi mzima ianzishe biashara ya shule za Jumuiya ya Wazazi! Elimu haitakiwi kufanywa biashara tena na chama kilichopo madarakani, taswira inayoonekana ni kuwa vyama vitakuwa vinanyang'anya ushindi wa uchaguzi mkuu ili viweze kufanya biashara ya elimu! Na huenda ndicho kilichofanyika uchaguzi uliopita.