Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 18,599
- 22,200
Chama cha Mapinduzi Manyara kimeshauri CCM nchi mzima ianzishe biashara ya shule za Jumuiya ya Wazazi! Elimu haitakiwi kufanywa biashara tena na chama kilichopo madarakani, taswira inayoonekana ni kuwa vyama vitakuwa vinanyang'anya ushindi wa uchaguzi mkuu ili viweze kufanya biashara ya elimu! Na huenda ndicho kilichofanyika uchaguzi uliopita.