CCM according to its action,is dancing to devil`s tune,the dance which will eventually lead to its downfall

Instagram media - CAP8ayJFMhh ( 652 X 640 ).jpg
 
Hiyo.ndoto.ya.downfall.ya ccm.haijaanza leo
Mtu yoyote anaweza kwamba ccm itatoka ikulu kwenye uchaguzi.wa october,2020 lazima atakua na matatizo ya akili
 
Hivi ndivyo naweza kusema kuhusu chama hiki cha kijani ambacho,kwa matendo yake, kinaonekana kukosa maarifa na sasa kinacheza tu muzik unaopigwa na devil,muziki ambao,japo wao wanaufurahia,lakini mwisho wa siku utapelekea anguko lao.

Midundo inayopigwa na devil na wanayoonekana kuifurahia na inayoweza kuja kuwaangusha na hii:
1.Kununua mamluki wakiamini ndio chama chao kitakubalika
2.Kunyanyasa wenye mawzo tofauti na wao
3.Kuwapa kisogo watumishi
4.Kutotimiza ahadi zao kama ile ya kutoa mshiko kwa kila kijiji
5.Kujali vitu kuliko watu
6.Poor handling ya covid-19
7.Kuziba watu midomo
8.Kuminya uhuru wa watu
9.Kukosekana kwa checks and balance
10.Shughuli za Mjengoni kufanyika gizani.
11.Kubambikia watu makesi
12.Kuharibu mahusiano na wanaowasaidia na sasa hata majirani zao
13.Kutokuwa wakweli.
14.Kupora na kuvuruga chaguzi
15.Kunyanyasa na kutesa watu,n.k.

Baada ya hii midundo wanayoifurahia,kinachofuata ni anguko lao.

Devil,keep on playing the music for them to continue dancing till it is late into the night.
Na hizo mbino, mbunu no mbuni duuh! MBINU nazo zinaelekea kufel.
 
Salary Slip ,

..tishio nambari moja kwa ccm ni KIZAZI KIPYA.

..habari ya vyama vingi ilikuja wakati mimi sijafikia umri wa kupiga kura.

..na mimi kipindi hicho nilikuwa napinga mfumo wa vyama vingi.

..by the time vyama vingi vinaanzishwa nikaanza kuunga mkono nccr ile ya kina marando, tengambwage, mashaka nindi chimoto, bagenda, etc.

..alipoingia mrema nikawa-disappointed kwasababu niliamini alikuwa mtu wa hovyo-hovyo tangu alivyokuwa ccm.

..sasa tangu wakati huo mimi nimeamini ktk demokrasia ya vyama vingi.

..matamanio yangu ni kuwa chama kimoja kikiharibu basi kiondolewe kupitia sanduku la kura.

..hiyo ni experience yangu mimi niliyekuliwa wakati wa chama kimoja na " chama kushika hatamu . "

..vijana wa KIZAZI KIPYA ambao ni watoto wetu experience na makuzi yao yamejikita siasa za ushindani. Huwezi kuwalazimisha tu siasa za chama kimoja.

..pia kizazi kipya wanakuwa influenced na wanachoona ktk mataifa mengine. Sidhani kama watashawishika kirahisi kuuwawa kwa demokrasia ya vyama vingi.

..Kwa hiyo, kwa maoni yangu mfumo wa vyama vingi ni kama gurudumu nililoloko ktk mteremko. Wanachoweza kufanya CCM ni kupunguza spidi yake. Kubadilisha muelekeo wa gurudumu hilo sidhani kama ni busara.
 
Back
Top Bottom