Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,785
Alisukumizwa ndani na wajanja
Sasa kwa nini wajanja hawakukusukumiza wewe au Mbowe?
Alisukumizwa ndani na wajanja
Ukiona kavaa ujue huyo ni nyumbu mfuasi wa Sacco's ya Mb...Kariakoo zimetapakaa hizi shati ni balaa ! cha kushangaza vijana wanazivaa bila hata kuogopa kutekwa !
Sisi huwa hatuchungulii vyumba vya watuSasa kwa nini wajanja hawakukusukumiza wewe au Mbowe?
Nyie ndo mtasababisha waanze kumfanyia mizengwe au wasiojulikana wampende zaidi mapema
Pwani hamjawahi kumiliki identity ya sura kaka watakuwa wanakutani kwahiyo usijifiche katika utani wenu.. Ubaguzi wa kikabila hautakiwi full stopMbona mimi sura yangu ni Pwani/ Kusini tupu na huwa naambiwa hivyo lkn sijawahi kuona kama ni ubaguzi?
Sasa watatekwa watu wote halafu kura atapiga nani?Kariakoo zimetapakaa hizi shati ni balaa ! cha kushangaza vijana wanazivaa bila hata kuogopa kutekwa !
2020 ccm watakwenda na Membe huku upande wa wajanja watakwenda na lissu na Fatma karumeKama ungekuwa wewe mjanja basi ungekuwa Raisi wa JMTZ leo hii, iweje mshamba kawashinda wajanja?
Pwani hamjawahi kumiliki identity ya sura kaka watakuwa wanakutani kwahiyo usijifiche katika utani wenu.. Ubaguzi wa kikabila hautakiwi full stop
2020 Rais Magufuli Toshaaaa
She is engagedBahati mbaya ameolewa. Ningeomba tamu tu kuliko kusoma huo utumbo kifuani kwake
Kuna mtu hataki kusikia hilo jina, nadhani hata maembe hali tena.
KG no. Aliposema hakuleta Tetemeko?Halafu sura yake KLM tupu, lkn Kanda ya Ziwa ndo mpango mzima, MZ, KG, TB, Katavi, RK, KGM mpaka sehemu ya SGD ni Magu tu!
Anaitwa ... Zidane ronadinhoToto zuri hili maamaee. Aiseee chalii yangu Erythrocyte jina la huyo demu anapoishi na contacts zake tafadhali.
Natanguliza Shukran zangu za dhati na za kipekee kabisa
Bahati mbaya ameolewa. Ningeomba tamu tu kuliko kusoma huo utumbo kifuani kwake
Sasa watatekwa watu wote halafu kura atapiga nani?
Yote haya kayataka Jiwe na roho yake ya korosho/mbaya, tamaa yake ya kuzitaka pesa za wanyonge wa korosho, imemletea laana kubwa na kumuondolea thamani mbele ya watu wa kanda ya pwani na kusini. Mvua hizi watu wananjaa kweli na korosho zao zinaoza magharani. #MembeRais2020