DIZZO MTAWALA
JF-Expert Member
- Aug 22, 2015
- 240
- 767
Wakati katibu mkuu wa ccm akilalamika hawakuwaandaa vijana wao sisi Kama chama mbadala tulishavuka tumepika Sana vijana wetu na tupo tayari kuongoza nchi 2020 maaana tuna vijana wanaotosha kila nyanja ya nchi hii ccm ipumzishwe ili ikaandae vijana wake wenye uwezo ili tuje tushindanishe hoja maana sasa naona green guard ndo mnatuletea kuwa viongozi
Natamani nione battle ya hoja Kati ya kamanda Malisa GJ Vs thadey ole mushi au Ally Bananga Vs Rashid chilumba ili tukumbuke zile battle kwenye Jamii forum na TANURU LA FIKRA yes enzi vijana wa ccm wakijimudu kiasi Kama kina Nape Moses Nnauye
Kigwangala
Acha vijana wa CDM Kama marehemu Mohamedi Mtoi Kanyawana Yericko Nyerere Ben-Rabiu Wa Saanane
Ccm ipumzishwe ili ikapike vijana ndo ije tena kwenye siasa za ushindani Kama wakikomaa ndo watatuletea viongozi bomu zaidi ya Hawa
Tanzania inahitaji mabadiliko kimfumo kuliko Mtu maaana mfumo imara humdhibiti mianya kuliko mfumo mtu
Natamani nione battle ya hoja Kati ya kamanda Malisa GJ Vs thadey ole mushi au Ally Bananga Vs Rashid chilumba ili tukumbuke zile battle kwenye Jamii forum na TANURU LA FIKRA yes enzi vijana wa ccm wakijimudu kiasi Kama kina Nape Moses Nnauye
Kigwangala
Acha vijana wa CDM Kama marehemu Mohamedi Mtoi Kanyawana Yericko Nyerere Ben-Rabiu Wa Saanane
Ccm ipumzishwe ili ikapike vijana ndo ije tena kwenye siasa za ushindani Kama wakikomaa ndo watatuletea viongozi bomu zaidi ya Hawa
Tanzania inahitaji mabadiliko kimfumo kuliko Mtu maaana mfumo imara humdhibiti mianya kuliko mfumo mtu