Kalunguine
JF-Expert Member
- Jul 27, 2010
- 2,543
- 134
HAYA wandugu,kile chama makini chenye viongozi vijana wenye mtazamo wa kuikwamua nchi katika matatizo magumu sasa kipo iringa pamoja na Ruvuma katika harakati za kuhakiki wanachama kuelekea usajili wa kudumu.
ratiba ya zoezi zima ni kama ifuatavyo:
Ruvuma zoezi linafanyika leo tarehe 25/08/2011
Musoma zoezi litafanyika tarehe 5/9/2011
pemba kaskazini zoezi litafanyika tarehe 12/9/2011
unguja kaskazini itakuwa tarehe 15/9/2011
shime vijana wa kitanzania tufanye harakati za ukombozi kumuenzi baba wa taifa hili
ratiba ya zoezi zima ni kama ifuatavyo:
Ruvuma zoezi linafanyika leo tarehe 25/08/2011
Musoma zoezi litafanyika tarehe 5/9/2011
pemba kaskazini zoezi litafanyika tarehe 12/9/2011
unguja kaskazini itakuwa tarehe 15/9/2011
shime vijana wa kitanzania tufanye harakati za ukombozi kumuenzi baba wa taifa hili