Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,475
- 39,987
- Thread starter
- #21
kwahio mkuu msajili anavyo kwenda kwenye hii mikoa kuhakiki wana chama proof inayohitajika ni ya kauli tu kutoka kwa hao watu 200 na sio kuonesha kadi ya uanachama wa chama kinachofanyiwa huakiki? au nimekuelewa vibaya?
duh.. jamani someni pole pole ninachosema basi. Inakuwa kazi kurudia kitu kile kile kwa watu wale wale.