Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,476
- 39,995
- Thread starter
- #21
CCJ... tumaini jipya, kwa mabadiliko ya kweli!... JOIN
Jamaa sijasikia haswa nini watafanya zaidi ya CHADEMA; TLP; CUF nk...............ni PANDIKIZI la CCM hilo jamani!!!
I dont think sokitafanya kile ambacho vyama vingine vimeshindwa kufanya..
I dont think so
Jamaa sijasikia haswa nini watafanya zaidi ya CHADEMA; TLP; CUF nk...............ni PANDIKIZI la CCM hilo jamani!!!
Mzee Mwanakijiji,
Mkuu inaonyesha una imani kubwa na hiki chama tofauti na vyama vingine. Pengine wewe unaweza kutuambia ni kitu gani kimekuvutia zaidi.. Ni bora kuanzia hapo kabla hatujatoa hukumu.
Nimekuwa nikisema kuwa mabadiliko siyo tunayoyangojea au tunayoyaombea ni yale tunayoyaleta.. usalama pekee ni kwa msajili kutafuta sababu ya kunyima usajili wa kudumu!!! Nimekuwa nikimonitor wiki hizi chache wakati uhakiki wa ndani ulikuwa ukifanyika and I'm totally amazed... kwa wanaotaka vyama vya kisomi na wasomi vipo tayari. Kwa anayetaka mabadiliko CCJ is the answer!
[/QUOTE]Shalom;912098]Mimi siongelei vitu vya kwenye makaratasi bali naongele outputs mzee amaazo kwa nyerere naona zilikuwa haba