Hivi sasa taasisi nyingi za elimu nchini na hasa vio vikuu viko katika mitihani, ila cha kushanga zaidi ni baadhi ya wanafunzi wengi wa kike pale CBE hupenda sana kutumia vimbomu na wako tayari kwa kufanya chochote kwa msimamizi ili mradi asiwasimamie sana. Ushahi ni kua baadhi ya wanafunzi wa kike wanaosmaea Diploma ya Business Admistration walikamatwa hivi majuzi na vibomu hivyo. Lakini hata vivyo wapo wengi wa aina hii amabao wako tayari kutoa chochote kile ili mradi wasisimamiwe na wasimamizi wa mitihani.
Tabia hii inashusha adhi ya chuo na wahitimu wa pale. Tunaomba mkuu wa chua aamke na achunguzi swala hili kuanzia full time na wanosoma evening. Pia baadhi ya walimu naofundisha pale hasa wa diploma wafuatiliewe kwa ukaribu kwani tabia hii imekithiri sana. Tunataka products za wanafunzi zilizo juu, sasa ikifikia mahali chuo kinakosa usimamizi wa dhati basi haina maana. Tunaosoma CBE mtakubaliana nami kua swala hilii ni za kweli.
Tabia hii inashusha adhi ya chuo na wahitimu wa pale. Tunaomba mkuu wa chua aamke na achunguzi swala hili kuanzia full time na wanosoma evening. Pia baadhi ya walimu naofundisha pale hasa wa diploma wafuatiliewe kwa ukaribu kwani tabia hii imekithiri sana. Tunataka products za wanafunzi zilizo juu, sasa ikifikia mahali chuo kinakosa usimamizi wa dhati basi haina maana. Tunaosoma CBE mtakubaliana nami kua swala hilii ni za kweli.