EMT
Platinum Member
- Jan 13, 2010
- 14,483
- 15,308
- Thread starter
- #21
Sidhani kama kuna ukweli ktk hili la maandamano!
Bse lazima wapewe kibali na uko polisi watasema wanaandamana kwa ajili ya nini?Kutembea uchi?
Na kama wakiandamana ama sure wengi watakuwa mabinti ni kuwatafuta ring leaders na timua chuo wote pumbavu sana.
Wamekuja kusoma au kuinadi miili yao?
Kuandamana hakuihitaji kibali cha polisi. Unawataarifu unless wana sababu za kiinteligensia juu ya maandamano.