EMT
Platinum Member
- Jan 13, 2010
- 14,483
- 15,308
Wanafunzi wa College of Business Education wanatarajia kuandamana leo kupinga sheria mpya chuoni hapo inayopiga marufuku uvaaji wa suruali zinazobana, sketi, blouses na mavazi mengine yanayoacha wazi tumbo, kifua na kiuno. Pichani hapo chini ni sehemu ya tangazo lenyewe hapo chuoni likionyesha mifano ya mavazi yaliyopigwa marufuku.