yani kadiri siku zinavyojongea nahisi mikakati ya Pius Msekwa kuiua Jf ina dalili ya kutimia. Threads zinazoanzishwa siku hizi humu Jf yani hata za "Black Belly Message" zinanafuu. Kuna siku mtu atandika humu bomba letu linatoa maji......!
Wanaochukua diploma ni wengi kuliko wanaochukua bachelor degree hivyo si ajabu kwa mwanafunzi anaechukua diploma kushinda uchaguzi.