Mackanackyyy
JF-Expert Member
- Mar 26, 2019
- 2,338
- 5,262
Maisha na Wakati vina namna yake ya kuchagua muda sahihi wa kuwawajibisha ama kuwadhihirisha viongozi wanafiki na waongo; Viongozi wasioamini hata chembe katika ustawi wa maisha ya watu na siasa safi.
Dunia nzima imepongeza hatua iliyopigwa na Mahakama ya Katiba ya Malawi katika kujenga nchi ya Demokrasia, isipokuwa Mwenyekiti wa SADC na Waziri wake.
So tuna Mwenyekiti na Waziri ambao katika wiki hii dunia na karma vimewaumbua na badala wachukue hatua kurekebisha maji yaliyokorogeka, wameishia kuwatuma Wabunge na wanachama wa chama chao watishie kuua Mbunge mwingine baada ya awali kukwama kumuua Mbunge mwingine.
Nchi iliponyimwa mkopo na World Bank, hawakuweza kutoa kauli kuwakemea WB, pamoja na kujidai, kwa mfano, kuwa Profesa ni Mwamba asiyeshindwa kazi anazopewa, ama kwamba thesis yake ya PhD ilipita pasipo correction huko Ujerumani.
Kijana wao mhalifu wa makosa dhidi ya binadamu amepigwa ban kutokutoa pua yake nje ya nchi lakini Waziri mjivuni na Mwenyekiti wa SADC wamemyuti as if wao si watu wale wale wajivuni tuwajuao.
Na ikatokea haraka sana pia - Mahakama ya Malawi imefuta Uchaguzi batili wa Rais uliompa ushindi Rais fake Peter Mutharika wa Malawi.
Lakini nchi Kiongozi wa SADC haioneshi Uongozi kuwasaidia watu wa Malawi kupita katika kipindi hiki chenye changamoto, si Mwenyekiti wa SADC wala Waziri ameweza kutoa kauli - japo basi kusema hawakubaliani na Uamuzi huo maana Mwenyekiti na Waziri ni kweli HAKI ni msamiati CHUKIZO kwao.
Tatizo nini? Ni kwamba Mwenyekiti wa SADC na Waziri wake hawajasikia habari hii ama vp? Au hata Kiingereza cha Malawi nacho hawakielewi, maana najua cha Pompeo kiliwapita kati ya miguu yao?
Mwenyekiti SADC Come on man, SHOW SOME LEADERSHIP
Dunia nzima imepongeza hatua iliyopigwa na Mahakama ya Katiba ya Malawi katika kujenga nchi ya Demokrasia, isipokuwa Mwenyekiti wa SADC na Waziri wake.
So tuna Mwenyekiti na Waziri ambao katika wiki hii dunia na karma vimewaumbua na badala wachukue hatua kurekebisha maji yaliyokorogeka, wameishia kuwatuma Wabunge na wanachama wa chama chao watishie kuua Mbunge mwingine baada ya awali kukwama kumuua Mbunge mwingine.
Nchi iliponyimwa mkopo na World Bank, hawakuweza kutoa kauli kuwakemea WB, pamoja na kujidai, kwa mfano, kuwa Profesa ni Mwamba asiyeshindwa kazi anazopewa, ama kwamba thesis yake ya PhD ilipita pasipo correction huko Ujerumani.
Kijana wao mhalifu wa makosa dhidi ya binadamu amepigwa ban kutokutoa pua yake nje ya nchi lakini Waziri mjivuni na Mwenyekiti wa SADC wamemyuti as if wao si watu wale wale wajivuni tuwajuao.
Na ikatokea haraka sana pia - Mahakama ya Malawi imefuta Uchaguzi batili wa Rais uliompa ushindi Rais fake Peter Mutharika wa Malawi.
Lakini nchi Kiongozi wa SADC haioneshi Uongozi kuwasaidia watu wa Malawi kupita katika kipindi hiki chenye changamoto, si Mwenyekiti wa SADC wala Waziri ameweza kutoa kauli - japo basi kusema hawakubaliani na Uamuzi huo maana Mwenyekiti na Waziri ni kweli HAKI ni msamiati CHUKIZO kwao.
Tatizo nini? Ni kwamba Mwenyekiti wa SADC na Waziri wake hawajasikia habari hii ama vp? Au hata Kiingereza cha Malawi nacho hawakielewi, maana najua cha Pompeo kiliwapita kati ya miguu yao?
Mwenyekiti SADC Come on man, SHOW SOME LEADERSHIP