S. S. Phares
JF-Expert Member
- Nov 27, 2006
- 2,138
- 84
Tanzania bwana yangu macho na masikio,Mungu atusaidie tu
Kuna kipindi najiona kama mpangaji kwenye hii nchi..!!!
Tanzania bwana yangu macho na masikio,Mungu atusaidie tu
Mwanakijiji,
Mkuu unazungumza na mtu anayefahamu kwa undani zaidi acha hizo habari kwani tunaelewa haya maswala yamesukwa na mnaendelea kuyasuka kama mlivyoyasuka kwa Sheikh Kassim..
Mkuu unajua Ukerewe walijenga chuo cha kiislaam kinaitwa Al Jazeera, mkuu yalisemwa mengi sana na marehemu kaka yangu became a victim within his own party...isitoshe kimekuwa chini ya uchunguzi kwa miaka karibu 6 hadi leo na kinapigwa vita vibaya sana hadi kesho maneno hayaishi kila siku kinatungwa jambo..tumezoea ndio maisha yetu topka Uhuru..
Kwa hiyo sishangai na habari kama hizi hata mkusinyiko wa Waislaam itakuwa hatari..
Mkuu nilijua haya yanakuja na hakika utabiri utatimia wala sii muda!
Mwanakijiji,
Wewe ndiye umelivalia njuga swala hili na habari za uzushi ukazipamba utafikiria harusi ya Nabii.. lakini ukweli ni kwamba tumegundua huu ni uhuni mtupu..na kibaya zaidi umeingia kichwa kichwa kuamini kwamba Waislaam tena masheikh wana mpango wa kummaliza Mbowe!... mkuu wangu hapo umeniumiza lazima niseme ukweli kwani naifahamu issue hii na Mbowe ni mshikaji..
Na siwezi kusema mimi mdini kwa kukataa habari hizi, labda hufahamu udini.. propaganda kama hizi ndio udini kuzikataa haiwezi kuwa udini bali ni kuondoa chuki.. wewe unajenga chuki hapa na kuna watu tayari wamekwisha kuamini.. Wakiniamini mimi watayapuuza na kutuona sisi ndugu zao lakini yako mkuu yanabomoa..
Yebo Yebo,
Kuna Mawaziri, Majaji, Mabalozi wamenyang'anywa nyumba baada ya kuuziwa ovyo ovyo, Bakari Mwapachu, Jaji Stephen Ihema, Balozi Adam Marwa (nyumba za Serikali za Mitaa), Balozi Ben Moses (za Serikali Kuu lakini kajinunulisha zaidi ya moja na mkewe).
Sasa huyu mtu ambae hata hakuwa mtumishi, achilia mbali Waziri, watu si wangeshamfanyia unoko kama hata Waziri ananyang'anywa ?
Na pia, nyumba zilianza kuuzwa 2001. Huyu aliuziwaje in the nineties, tena mbili, na hata sio mtumishi?
Tetesi ni kitu kisicho na ushahidi, kama wanazushiwa waende mahakamani... na huu ni mpango mmoja tu mwingine unahusisha watu wasomi zaidi na very senior na una angle ile ile.. huo utaibuka wiki ijayo Inshallah..
Swali ambalo nimekaa nikijiuliza bila ya kupata jibu ni je mara baada ya kufanikisha malengo yao hayo, hili suala zima litakuwa limewapa manufaa gani. Hii hali inachangiwa na Utawala wa Sasa, na mwelekeo mzima wa Nchi kutokana na viongozi waliopo.
Albert Marwa ni jamaa mmoja anayetaka kumuoa mtoto wa JK lakini ni mtu anayetumia nafasi yoyote anayoipata kutengeneza pesa na moja wapo ikiwa tukio hilo!!!!!!!
Mwanakijiji,
Wewe ndiye umelivalia njuga swala hili na habari za uzushi ukazipamba utafikiria harusi ya Nabii.. lakini ukweli ni kwamba tumegundua huu ni uhuni mtupu..na kibaya zaidi umeingia kichwa kichwa kuamini kwamba Waislaam tena masheikh wana mpango wa kummaliza Mbowe!... mkuu wangu hapo umeniumiza lazima niseme ukweli kwani naifahamu issue hii na Mbowe ni mshikaji..
Na siwezi kusema mimi mdini kwa kukataa habari hizi, labda hufahamu udini.. propaganda kama hizi ndio udini kuzikataa haiwezi kuwa udini bali ni kuondoa chuki.. wewe unajenga chuki hapa na kuna watu tayari wamekwisha kuamini.. Wakiniamini mimi watayapuuza na kutuona sisi ndugu zao lakini yako mkuu yanabomoa..
Kuna watu wataanza kujiuliza kuhusiana na Mbowe kafanya nini kwa waislaam alikuwa na mpango gani na kadhalika hivyo huwaimuzi waislaam tu bali hata Mbowe na mahusiano ya Chadema na CUF.. be careful my brother, kunguni akuumaye yuko nguoni mwako.
Hii habari imekaa kiuda daku hivi. Waislam wanakaa kumkataa Kiongozi wa kichaga ilhali kuna wachaga waislamu wengi tu this doesnt add up...
Habari ina mkanganyiko na mgoloko mwingi, mara ukabila mara udini muradi kukidhi haja ya kuchochea watanzania. Huu ni mzuka wa OIC na Kadhi utatuletea habari nyingi watu wasipokuwa makini na kummeza nzima nzima kuna hatari mbeleni huko.
Mwanakijiji,
Mkuu unazungumza na mtu anayefahamu kwa undani zaidi acha hizo habari kwani tunaelewa haya maswala yamesukwa na mnaendelea kuyasuka kama mlivyoyasuka kwa Sheikh Kassim..
Mkuu unajua Ukerewe walijenga chuo cha kiislaam kinaitwa Al Jazeera, mkuu yalisemwa mengi sana na marehemu kaka yangu became a victim within his own party...isitoshe kimekuwa chini ya uchunguzi kwa miaka karibu 6 hadi leo na kinapigwa vita vibaya sana hadi kesho maneno hayaishi kila siku kinatungwa jambo..tumezoea ndio maisha yetu topka Uhuru..
Kwa hiyo sishangai na habari kama hizi hata mkusinyiko wa Waislaam itakuwa hatari..
Mkuu nilijua haya yanakuja na hakika utabiri utatimia wala sii muda!
Asante na Hongera MMKJ kwa kutuhabarisha habari nyeti, na sensitive katika usalama wa taifa letu.
Umetoa majina, sehemu, namba za magari, hadi agenda za mikutano hiyo. Kuna watu humu hata ukileta hizo sauti watakuambia umefoji. Its nothing else than udini.
Shida ya watanzania sometimes ndio hii. Badala ya kuangalia maslahi ya taifa tunaweka dini mbele hata kama tunaenda kuchinjana..
Mungu Ibariki Tanzania