Nasikia anasubili mda tu nae aitwe mwendazake kama waliomtangulia.Mbona unazungumzia Ndugai kama sub stori wakati inaonekana ni habari iliyokamilika?
Nini kinaendelea kwa Ndugai?
Sent from my SM-A037G using JamiiForums mobile app
Nasikia anasubili mda tu nae aitwe mwendazake kama waliomtangulia.Mbona unazungumzia Ndugai kama sub stori wakati inaonekana ni habari iliyokamilika?
Nini kinaendelea kwa Ndugai?
Hatujiui ng'o! Tutabanana hapa hapa huku tukiwaambieni ukweli wa uhujumu nchi wenu. Watu wanakufa umaskini nyie mnauita uhuru huo? Hebu tembelea mahospitali makubwa ukaone binadumu wenzio wakikosa matibabu wakiachwa kujifia pole pole.Ujinga kama virusi. Unaelewa kweli maana ya ukoloni. Nyie kama hamnaga cha kuandika. Mjiue tu.
Kakoko alikuwa mtu katili sana akiamini kuwa Magufuli angeishi milele. Alikuwa anatumia muda mwingi TPA kuliko hata nyumbani kwake. Alikuwa ni mtu wa mipango ya wizi tu huku akigawana na Magufuli.Acha uwongo unaweza bainisha hapa ukatili wa kakoko ulikuwa wapi? Na tangu wamchunguze je alishawahi kufikishwa mahakamani? Vijana fanyeni kazi acheni majungu kwa wakubwa zenu
Kuna watu mna roho mbaya Sana.
Polisi hii hii inayobambikiza watu kesi, inayoua watu ili wadhulumu mali na fedha zao au unazungumzia polisi ipi?Kama alitishiwa kuuliwa,alitoa taarifa polisi?je ana ushahidi zaidi ya maneno yake?
Na hilo ndiyo lengo la thread na ni bora umelibaini, majority wameshindwa kubaini story halisi ni ipi wako busy wanapambana na kivuli.Story hapo ni ya Ndugai huyo Kakoko hana story hapo
Polisi hii hii ya kina Kingai na Mahita?Alitoa taarifa polisi?
Acha ubishi..Wa CCM Magige ,ndiyo alizua TimbwiliSijachanganya mafaili ndio huyu msimbe anayeng’ang’ania wanaume za watu na kuishia kufanya fujo hadi kwenye misiba ya watu.
Baada ya kupoteza ubunge amekuwa kama kachanganyikiwa.
Hongera MkuuNimekubali mkuu
Zilianza kama tetesi
CHADEMA wameanza kuwa movie stars - akiona ameanza kupoteza soko hapo hapo anaita magazeti kumhoji akisema "I WAS RAPPED IN SCHOOL". Hapo hapo chati zinapanda tena.Aliyekuwa mbunge wa viti maalum CHADEMA na Katibu mkuu BAWACHA ndugu Catherine Ruge amedai kwamba wakati akiwa mbunge akifanyia kazi kamati ya PAC alitishiwa kifo na aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Bandari nchini TPA ndugu Kakoko ambaye alikuja kutumbuliwa kwa tuhuma za ufisadi na kushtakiwa mahakamani.
Hali hiyo ilikuja baada ya yeye kuibua Madudu mengi ya ufujaji wa pesa katika Mamlaka hiyo na kubainisha kuwa kulikuwa na baadhi ya watumishi wazalendo wa kutoka mamlaka hiyo walikuwa wakimpa nyaraka za ndani za matumizi mabaya ya pesa ambazo Bwana Kakoko alikuwa akizificha.
Akiongea kwa njia ya mtandao kupitia mjadala unaoendeshwa kupitia mtandao wa Clubhouse, Pia ndugu Catherine Ruge alisema amedokeza anashangaa watu wakihoji alipo aliyekuwa Spika wa bunge ndugu Job Yustino Ndugai wakati yeye anafahamu kuwa yupo Katika matibabu hospitali ya Apollo nchini India na Kuna ulinzi mkali umeimarishwa katika mahali alipo mgonjwa.
Taarifa za kuugua kwa Ndugai, Catherine Ruge amedai kuwa amezipata kutoka kwa mdogo wake ambaye walikuwa wakitibiwa pamoja katika hospitali hiyo.
MuangazaHivi ni mrundi sio mhaya nilisoma naye Pugu Highschool alikuwa mbinafsi,atakuomba kitabu lakini chake hugusi
SureMuangaza