Stan Mashamba
JF-Expert Member
- Apr 22, 2020
- 3,184
- 2,471
Tukubali tu. Pamoja na wana CCM kumubatiza majina ya fedheha, Mbowe na timu yake ni miamba. Chama sasa kiko njia sawa na salama.Nimepitia social media zote casually, 98% wanamsifu Mbowe na Kamati Kuu kwa maamuzi waliyoyachukua.
CDM imeimarika kwa maamuzi haya.
Zitto, mtihani sasa umerudi kwako, Mbowe kamaliza!