Casual observation yangu ni kuwa watu wamefurahia adhabu ya Halima na wenzake 18

Kitu nadhani hapa hii ni furaha kwa chama tawala..haijalishi halima mdee atakua na nguvu nje ya chama au la lakin nachokiona hapa ni chadema kuanza upya tena kutengeneza watu...
Chadema kilitakiwa kipige hatua mbili mbele sasa kimerudi nyuma hatua mbili mpaka kije kikae sawa muda umeisha na pengine kina halima nao wameahaanzisha chama chao cha upinzan kama zito alivyofanya na mgawanyiko wa vyama vya upinzan utaendelea kuwa mkubwa ambapo ndiyo uimara wa chama tawala unapoanzia...
Najua mitego kama hii ni vigumu kuiepuka lakin ni busara zaid kuchukua muda wa kutosha kabla ya kuchukua maamuzi..
Kamat kuu ya chadema ingejipa muda kidogo...
 
Mbowe amekua kisiasa sasa na atakapokomaa tutacheka wote
Lyatonga Mrema alikua zaidi ya Freeman Mbowe na Freeman Mbowe atakua zaidi ya Lyatonga Mrema.
Ni swala la muda tuu
Kitu ambacho hukijui, unataka kulinganisha enzi miaka ya 1900s na miaka ya 2000s.

Sasa hivi watu wanaelewa zaidi na wanajua michezo yote michafu na hii inachagizwa na uwepo wa mitandao ya kijamii ambayo taarifa zinasambaa zaidi tofauti na enzi zile kitu mpaka iseme Serikali.

Na kibaya zaidi, CCM sasa hivi wanafanya misheni za kitoto sana kiasi kwamba hata mtoto wa Shule ya Msingi anajua, angalia mambo ya Uchaguzi na zile kauli za mgombea wenu za kibaguzi ambazo zimeshasambaa kwenye mitandao ya kijamii.
 
Hawataisahau 27/11/2020 kwenye maisha yao yote.

Life will never be the same.
 
Hofu ilikuwa wangechelewa wangeenda mahakamani kuzuia wasijadiliwe na mnajua tabia za
Zao kutoheshimu mhimili mingine
 
Mkuu do you think hakuna means yoyote ya kufanywa na akina ndugai ili waendelee kuwa wabunge?hata kwa kuwahamishia ccm?
Kwa desturi ya nchi isiyofuata sheria na katiba hawa covid 19 wataendelea kuwa wabunge kwa sababu hii nchi haifuati tena katiba wala sheria za nchi bali matakwa ya viongozi. (Rejea sakata la Mwambe na Silinde pila lile la wabunge wa Lipumba na Nyalandu-double standard)

Cha muhimu wamepoteza uhalali wa kusimama kwa niaba ya chadema. So nobody cares watakuwa nani for now. Wawe bungeni au wasiwe bungeni hayo ni ya watawala. Chadema haihusiki nao tena
 
Kwa desturi ya nchi isiyofuata sheria na katiba hawa covid 19 wataendelea kuwa wabunge kwa sababu hii nchi haifuati tena katiba wala sheria za nchi bali matakwa ya viongozi. (Rejea sakata la Mwambe na Silinde pila lile la wabunge wa Lipumba na Nyalandu-double standard)

Cha muhimu wamepoteza uhalali wa kusimama kwa niaba ya chadema. So nobody cares watakuwa nani for now. Wawe bungeni au wasiwe bungeni hayo ni ya watawala. Chadema haihusiki nao tena
yes niliwaza hivyo pia
 
Mbowe amekua kisiasa sasa na atakapokomaa tutacheka wote
Lyatonga Mrema alikua zaidi ya Freeman Mbowe na Freeman Mbowe atakua zaidi ya Lyatonga Mrema.
Ni swala la muda tuu
kwani akiwa hivyo wewe unanufaika na nini?
 
Walishakufa kisiasa tangu siku ya uchaguzi kwa kutendewa ndivyo sivyo. Kwa hiyo hakuna kifo kingine Tena hapo,badala yake wameonesha kuwa hawana cha kupeteza Tena,maana kuwepo Bungeni au kutowepo kwa hao wasaliti hapana msaada wowote kwa CHADEMA. Kamati kuu ya CHADEMA imethubutu,inahitaji pongezi.
Hilo lipo wazi,, na kwa akili ya kawaida tu, ni kwamba wamejiua kisiasa tayari.

Na ndo hapo wajue nje ya mfumo uliopo usijedanganye una nguvu. Ukishaondoka na nguvu zako zinaisha. Kuweza kubounce back ni neema tu! Otherwise hao mpaka hapo walipo ni zilipendwa tu.

Watatokea watu wengine wenye nguvu na wao watasahaulika milele.

Hakuna mtanzania asiyejua walichofanya. Kwa hiyo hata wakifanya propaganda watu watakuwa wanawachekinkwa mbali na kucheka tu!!
 
Back
Top Bottom