Hebu tujuzeni vizuri, habari zilizozagaa ni kwamba matandao wa EL ndio uliomweka JK Madarakani, Sasa kama RA ni king maker aliyemweka JK madarakani mnmaana EL na RA ni kitu kimoja?
Habib ni managing director na rostam ni owner wa Caspian ........ni expert n he is very smart kwenye kazi.katupiga gap sana watz