Likwanda
JF-Expert Member
- Jun 16, 2011
- 3,910
- 1,131
Kampuni ya Huduma ya chakula (Catering services) unatafuta vijana watakao ajiri katika nafasi za kupokea na kulipa pesa (cashiers) katk vituo vyake tofauti tofauti.
Sifa za Muombaji awe anaelimu hadi ngazi ya Cheti.
Awe muaminifu.
Awe tayari kufanya kazi nje ya Dar es salaam iwapo atapangiwa.
Awe mwenye kujituma na mwepesi kutuma na kuelezea ripot za kila siku.
Uzoefu sio lazima kwa wanaohitaji
Tuma CV yako kwenda likwandaa@gmail.com. au nipigie namba 0656 279 230
Updates:
Tunawashukuru wale wote waliotuma maombi na wale waliitwa katika interview wakaja. Taarifa ni Kua usaili wa mwisho utafanyika Jumatatu hii ya tarehe 15/07/2019. Wale wote ambao hakuitwa katika interview sio kama hawakua na vigezo Bali ni kulingana na uchache wa nafasi, ila CV zenu tumezitunza kama ukitokea uhitaji basi tutawaita.
Sifa za Muombaji awe anaelimu hadi ngazi ya Cheti.
Awe muaminifu.
Awe tayari kufanya kazi nje ya Dar es salaam iwapo atapangiwa.
Awe mwenye kujituma na mwepesi kutuma na kuelezea ripot za kila siku.
Uzoefu sio lazima kwa wanaohitaji
Tuma CV yako kwenda likwandaa@gmail.com. au nipigie namba 0656 279 230
Updates:
Tunawashukuru wale wote waliotuma maombi na wale waliitwa katika interview wakaja. Taarifa ni Kua usaili wa mwisho utafanyika Jumatatu hii ya tarehe 15/07/2019. Wale wote ambao hakuitwa katika interview sio kama hawakua na vigezo Bali ni kulingana na uchache wa nafasi, ila CV zenu tumezitunza kama ukitokea uhitaji basi tutawaita.