Cartoon Yenye Ujumbe Mzito!

mwanakijiji nakumbuka kwenye ule mchezo wa watoto wangu ee....mwisho unaambiwa "haidhuru piteni" ....
sasa na JK nae kasema natupite tu, atakaekamatwa na ufisadi na yeye akawa fisadi ni sawa, atakae amua kupita kwa njia nyengine ni sawa......YEYE hana tena nguvu na tusimtegemee

HaidhuruPiteni hatujaambiwa sisi, wameambiwa wale waliokwapua!
 
Ninaungana na wale wote wanaomtazama JK kama mtu aliyepewa nafasi nyingi za kurekebisha mambo na akaendelea kuboronga...Hili liwe funzo kubwa kwetu watanzania kuwa mtu aliyeingia madarakani kwa RUSHWA, hatakuwa na nguvu ya kukemea rushwa ......na kwamba anashindwa kukemea uozo wa EPA, BOT, na Richmond, hatuna sababu ya kuhisia na kudhania hisia zetu ni za uongo, huyu jamaa naye yumo katika uozo huu na hivyo anajikuta yuko katika kitanzi.

Kwa akili ya utu uzima aliona nao, angeweza kujua ni nini anapaswa kufanya. Ila kwa vile Rushwa hondoa maarifa, na kuondoa utashi, basi amejikuta mvinyo wa Rushwa ya EPA na Richmond na vimada wa majuu unamlewesha na hata kujisahau kuwa na kiongozi wa watu 35 milioni na si kijitabaka cha kina lowasa na chenge na wake zao!
AIBU KWA JK na washauri wake.
 
eacart080908.jpg
 
Jk na maigizo yake ya watoto wangu nyie eeeehh....je ataweza kuwakemea walioharibu kwenye jengo la uvccm....je ataweza au ???
 

Attachments

  • Watoto Wangu Ehh.JPG
    Watoto Wangu Ehh.JPG
    27.3 KB · Views: 58
11boq6o.gif


Kikaragosi kutoka Afrika ya Kusini. Mchoraji Zapiro. Picha kwa hisani ya GLOBU ya: issamichuzi.blogspot.com


Very powerful cartoon. Ujumbe umewafikia walengwa. Kwa maoni yangu, ujumbe hauna lengo la kumdhalilisha mwanamke bali kumtetea. Justice system has been destroyed/ignored (thrown to one side) through collusion au utter ignorance ya vyama vya ushirika na siasa kama mchoraji anavyoonesha kweye hii picha.

SteveD.
 
We Steve D umeniacha hoi kweli...Hiyo kitu juu ya kichwa cha huyo mkuru anayetaka ku-attack ni nini shower au????. Very interesting it happens in Africa...
 
I beg to differ, someone is preparing himself to shag the justice squeezed underneath and you say it is an approach aimed at defending the same!!!!!!!!
 
We Steve D umeniacha hoi kweli...Hiyo kitu juu ya kichwa cha huyo mkuru anayetaka ku-attack ni nini shower au????. Very interesting it happens in Africa...

Huyu si ndie alisema alipomaliza kufanya mapenzi bila kinga alikimbilia kuoga ili asiambukizwe HIV?
 
Back
Top Bottom