Rev. Kishoka
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 4,526
- 1,529
mwanakijiji nakumbuka kwenye ule mchezo wa watoto wangu ee....mwisho unaambiwa "haidhuru piteni" ....
sasa na JK nae kasema natupite tu, atakaekamatwa na ufisadi na yeye akawa fisadi ni sawa, atakae amua kupita kwa njia nyengine ni sawa......YEYE hana tena nguvu na tusimtegemee
HaidhuruPiteni hatujaambiwa sisi, wameambiwa wale waliokwapua!