- Thread starter
- #21
Ya siku ngapi?Mbona sio mpya ya siku nyingi sana.
Ya siku ngapi?Mbona sio mpya ya siku nyingi sana.
Wajameni msimfananishe huyu wa kwetu na Caligula tafadhalini sana.Caligula alikuwa hana akili nzuri, alikuwa anapanga kumfanya farasi wake mbunge ili kuonesha tu yeye mfalme.
Yani hapa ni sawa na kumfanya Bashite wako RC wa Dar ili kuonesha tu kwamba hakuna wa kukufanya kitu hata ukimuweka mtu asiye na uwezo kama Bashite kuwa RC wa Dar.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu wa kwetu mbona alishakiri naye ni kichaa? Au hukusikia mwaka 2017 akiwa ziara ya mkoa wa Mara. Alikuwa anamsufia Waziri Lugina Mpina kuwa amemchagua ni kichaa kama yeye.Wajameni msimfananishe huyu wa kwetu na Caligula tafadhalini sana.
Caligula ilikuwa ni mental retardation case. Caligula aliwabaka mpaka dada zake na kufanya ngono na wanyama.
Kabla hutujafika huko kwa chuki tu tuangalie documentary inayoitwa "Roman Emperor Caligula - 1400 days of terror" Caligula
Bora huyu kuliko chadema
Hatari sana
Kwani huyu wewe unamuona mzima?Wajameni msimfananishe huyu wa kwetu na Caligula tafadhalini sana.
Caligula ilikuwa ni mental retardation case. Caligula aliwabaka mpaka dada zake na kufanya ngono na wanyama.
Kabla hutujafika huko kwa chuki tu tuangalie documentary inayoitwa "Roman Emperor Caligula - 1400 days of terror" Caligula
CHADEMA walikufanya nini?Bora huyu kuliko chadema
Our presidaa is not mentally retarded. Caligula alikuwa anamiliki danguro la anasa, ubakaji na mauaji. Alikuwa kichaa.Huyu wa kwetu mbona alishakiri naye ni kichaa? Au hukusikia mwaka 2017 akiwa ziara ya mkoa wa Mara. Alikuwa anamsufia Waziri Lugina Mpina kuwa amemchagua ni kichaa kama yeye.
Moderator nimetishiwa na huyu mtu, hebu angalieni VAR yenu. JF imeanza kuvamiwa na watu wasiojulikana.Are you in TZ or outside the country? But, anyway, there is no hiding place in this world
Pole sana ndugu. Usiwe na hofu sana. Hawataweza kukufikia kama JF wenyewe wasiowapa mechanism ya kufanya tracking kupitia hii platform.Moderator nimetishiwa na huyu mtu, hebu angalieni VAR yenu. JF imeanza kuvamiwa na watu wasiojulikana.
Kisarawe hoyee? Wizara ya uwekezaji je? Wizara ya afya? Hilo nalo ni danguro tosha.Our presidaa is not mentally retarded. Caligula alikuwa anamiliki danguro la anasa, ubakaji na mauaji. Alikuwa kichaa.
Wacha kutisha watu. Bora wanichukue nimevaa Boxer huko ninawakosoa kuliko kukaa kuogopa kuwaambia ukweli.Pole sana ndugu. Usiwe na hofu sana. Hawataweza kukufikia kama JF wenyewe wasiowapa mechanism ya kufanya tracking kupitia hii platform.
Ila JF ikitekwa ni dakika tu wanakuja mpaka ulipolala kitandani wanakubeba ukiwa umevaa boxer.
Ila ongeza umakini pia. Usiwaamini sana JF. Wakifika bei watatuuza wote tunaojiachia huku.
Wala usihangaike kumtafuta bali mu-ignore tu. Hili 1954 ni moja ya marobot ya Lumumba. Yanaishi kwa buku 7 na kazi yao 24/7 ni kupita kwenye social media na kutisha wakosoaji, kisifia ujinga wa Serikali na kujibu ovyo.Moderator nimetishiwa na huyu mtu, hebu angalieni VAR yenu. JF imeanza kuvamiwa na watu wasiojulikana.
Magufuli for life!
Wala usihangaike kumtafuta bali mu-ignore tu. Hili 1954 ni moja ya marobot ya Lumumba. Yanaishi kwa buku 7 na kazi yao 24/7 ni kupita kwenye social media na kutisha wakosoaji, kisifia ujinga wa Serikali na kujibu ovyo.
Pamoja mkuuWala usihangaike kumtafuta bali mu-ignore tu. Hili 1954 ni moja ya marobot ya Lumumba. Yanaishi kwa buku 7 na kazi yao 24/7 ni kupita kwenye social media na kutisha wakosoaji, kisifia ujinga wa Serikali na kujibu ovyo.
ujinga si wa vyama, ujinga ni wa watanzania. watanzania tungejitolea kwenye UKUTA leo tusingepelekwa hivi.Ccm itashinda hadi ichoke kwa huu ujinga wa vyama vingine vya siasa
Sent using Jamii Forums mobile app
For deathMagufuli for life!