Labda hujui kuwa Jina Petro maana yake ni Mwamba. Rudi Kanisa Katoliki Ujifunze Biblia.Dah! Sky Eclat Peter sio mwamba huo ambao Bwana Yesu alikusudia aliposema "juu ya mwamba huu nitalijenga Kanisa langu!" Kama mtu akisoma with an open mind Mathayo 16:18 atagundua kwamba ni kweli Petro sio huo mwamba. Mstari huo unamalizia kwa kusema "wala nguvu za kuzimu hazitalishinda." Sasa hili mbona nguvu za kuzimu zimelishinda mpaka Pope ni Jesuit na uovu ndio nyumbani pamoja na ulawiti? Obviously Peter sio huo mwamba.Sasa ukisoma Mathayo 16:16-18 ambapo Bwana Yesu alikuwa anaongea na wanafunzi wake again with an open mind, utagundua kwamba mwamba ambao Bwana Yesu alikuwa anazungumzia ni Yeye Mwenyewe.Huu ndio mwamba ambao truly nguvu za kuzimu haziwezi kuushinda, wala sio Petro.Dhana kwamba Petro ndiye huo mwamba is a distortion from the Devil himself.
Nenda kaabudu milima na miti mikubwa si ndio dini ya mababu zako.au ukishindwa kaa hivyo hivyo hakuna atakaekuuliza.Halafu nikisikia eti watu wanakataa kumzika mkatoliki mwenzao kisa eti alikuwa ahudhurii jumuiya! Au eti huyu lazima azikwe Kiislamu au Kikristu ama sivyo hamna ziko! Hizi dini za kuiga kazi ipo, ukatoliki ndio haya ya Sodoma na Gomora, Uislamu kulipuana na kuchinjana kama kuku kama sio kuwanyima haki wanawake, Anglikana ushoga na ndoa za jinsia moja! Hindu kuamini kila kitu kuanzia Ng'ombe mpaka mito na maziwa...Kwenye Ubantu ushirikina, hasa wa kuuwa vibibi kizee na Albino!
Hata sielewi hiyo dunia ya baadaye ya vizazi vyetu itakuwaje?!
kwnn hujiulizi kiakili na kuhoji instead unamsingizia shetan hii sio kesi ya kwamza australia peke yako kuna report 4000 na ushee tena kwa watoto wa kiume tu acha wa kike huko US i.e boston ndio balaaa huku kwetu kuna staha sababu watu wanaogopa kusema na pia kanisa linaogopeka. huoni badala ya kuja na njia mbadala ya kuepuka haya na sio kumsingizia shetan!!Hao ni kuwa hawa kuwa na wito au walilegea katika imani na kumruhusu shetani kutawala hisia zao lakini utawa na ndoa haviingiliani.
ttz lako una upofu lkn ufisadi uliotamalako banki ya vatican pamoja na kundi la makasisi mashoga ni miongoni mwa sababu zilioshinikiza hebu pitia vyombo vya habari vya kimataifa na makala utayaona yote hayo. naMkuu acha kupotosha kuwa Pope Benedict aliachia madaraka kwa sababu ya makasisi shoga. SIYO KWELI
Ninajua maana ya jina Petro.Ila hiyo sio issue sana, mbona kila jina lina maana! Naomba usome Mathayo 16:16-18 with an open mind. Concentrate on verse 18 hasa 18b and then connect this with what is happening in the Roman Catholic Denomination.I do not call it Church for obvious reasons.Labda hujui kuwa Jina Petro maana yake ni Mwamba. Rudi Kanisa Katoliki Ujifunze Biblia.