Cardi B...hottest chick in the game right now

Anagonga hip hop kali kuwazidi hata wanaume mastar wa game hiyo huko mamtoni,nikki minaj ajipange sana kwa huyu dem aisee
 
Bado sijamuelewa kivile atapotea kama mwenzake Iggy Azalea.....naamini anabebwa kuliko kipaji alichonacho...kizazi cha sasa female rapper ninaowaelewa ni Young M.A,Remmy Ma na Nick Minaj kwa mbaliiii.........
 
MMG the hottest niggas in the game, tour starts in a few weeks,If you fvçķing with it, fvçk with me,Ha ha.
 
Bado sijamuelewa kivile atapotea kama mwenzake Iggy Azalea.....naamini anabebwa kuliko kipaji alichonacho...kizazi cha sasa female rapper ninaowaelewa ni Young M.A,Remmy Ma na Nick Minaj kwa mbaliiii.........
Hamna bana issa good rapper. Ujue kaingia katika nomination 9 za BET kwa bodak yellow pekee. I bet atafika mbali from striper to bodak yellow hatari hatari. But naziona swagga za Nicki ndani yake,so ni kama tishio Fulani kwa Nicki. She is beautiful tho...
Imma team Nicki anyway..
 
Hamna bana issa good rapper. Ujue kaingia katika nomination 9 za BET kwa bodak yellow pekee. I bet atafika mbali from striper to bodak yellow hatari hatari. But naziona swagga za Nicki ndani yake,so ni kama tishio Fulani kwa Nicki. She is beautiful tho...
Imma team Nicki anyway..
Yeah Yeah Madam....ila kinachoboa zaidi ni kwanini apigiwe promo kubwa ya kukaa kwenye billboard top 100 awe #1....najiuliza mengi....naona kama media zinambeba sana tofauti na uwezo wake....Yeah...Nick ni mkali na Nick huwa anakausha tu hajihusishagi kwenye kumlinganisha. yeye nai wenzake...Remmy Ma kamdiss we na 'Sheather' ila kakausha....hatakagi kumweka mtu juu kupitia yeye....
 
Yeah Yeah Madam....ila kinachoboa zaidi ni kwanini apigiwe promo kubwa ya kukaa kwenye billboard top 100 awe #1....najiuliza mengi....naona kama media zinambeba sana tofauti na uwezo wake....Yeah...Nick ni mkali na Nick huwa anakausha tu hajihusishagi kwenye kumlinganisha. yeye nai wenzake...Remmy Ma kamdiss we na 'Sheather' ila kakausha....hatakagi kumweka mtu juu kupitia yeye....
Sure media hata insta naona wanampa promo sana.
Nicki issa Nicki,she is the Queen bhana.
 
I don't dance now, I make money moves.....


Played this song to my dog now she taking me for walks
 
Whats sexier bout her is her naked real self... She aint claimin' shit! She's just crazy, and she owns it.
 
Back
Top Bottom