Hua mara nyingi naishangaa serekali kushindwa kuthibiti mwndo kasi wa mabasi ya abiri ambayo mwisho wake huua maelfu ya abiria. Wanaishia kusema maleria inaua sana lakini bila kutaja pia ajali huu watu wengi kwa wakati mmoja na pengine familia nzima. Kuna mfumo amabo unaitwa Car track, ni mzuri sana kufuatilia mwendo kasi wa gari na muda. Car track ni kifaa kinafungwa kwenye gari husika halafua kinaunganishwa moja kwa moja na computer zinazofuatilia mwenendo wa gari.
Mfano, ukifungia kila gari la abiria car trach unaingiza detail zote za mmiliki na dereva husika, anapoingia kwenye gari anatakiwa awashe na alarm ya car track ili kujitambulisha kua ni yeye anayeliendesha. Kifaa hicho ni wireless kinaunganisha na computer (computer Saver) iliyoko sehemu moja, police wanaweza kuchagua pa kuweka, hii saver inamonitor mwenendo wa gari popote lilipo na anayeendesha. Pia ni rahisi sana kupata riporti ya mwendo kasi, muda, mmiliki na dereva. Kwa hiyo ukiamuru magari yote yasizidi mwendo wa km 90 kwa saa, then pale gari linapozidi km 90 computer saver itatoa riport. Magari yote kwa nyia moja ama nyingine yakizidisha km 90/hr watozwe fine kali inayozidi mapato yao kwa siku hiyo, hii itawezesha madereva wote kufuata sheria. Huu mfumo ni mzuri sana kuliko speed governer. Pia kama kuna sehemu kunatakiwa apite km 40/hr akapita na speed kali, riport itaonesha. Serekali ifikirie nje ya box zaidi. Pia taxi zinawezwa pia kufungwa mfumo huu na kutoa bill za mteja, mteja anapoingia kwenye gari hatakiwi kukubaliana bei na dereva yeye anapanda na mwisho wa sabari kifaa kitamwambia unadaiwa kiasi fulani cha pesa.
Nawasilisha hoja
Mfano, ukifungia kila gari la abiria car trach unaingiza detail zote za mmiliki na dereva husika, anapoingia kwenye gari anatakiwa awashe na alarm ya car track ili kujitambulisha kua ni yeye anayeliendesha. Kifaa hicho ni wireless kinaunganisha na computer (computer Saver) iliyoko sehemu moja, police wanaweza kuchagua pa kuweka, hii saver inamonitor mwenendo wa gari popote lilipo na anayeendesha. Pia ni rahisi sana kupata riporti ya mwendo kasi, muda, mmiliki na dereva. Kwa hiyo ukiamuru magari yote yasizidi mwendo wa km 90 kwa saa, then pale gari linapozidi km 90 computer saver itatoa riport. Magari yote kwa nyia moja ama nyingine yakizidisha km 90/hr watozwe fine kali inayozidi mapato yao kwa siku hiyo, hii itawezesha madereva wote kufuata sheria. Huu mfumo ni mzuri sana kuliko speed governer. Pia kama kuna sehemu kunatakiwa apite km 40/hr akapita na speed kali, riport itaonesha. Serekali ifikirie nje ya box zaidi. Pia taxi zinawezwa pia kufungwa mfumo huu na kutoa bill za mteja, mteja anapoingia kwenye gari hatakiwi kukubaliana bei na dereva yeye anapanda na mwisho wa sabari kifaa kitamwambia unadaiwa kiasi fulani cha pesa.
Nawasilisha hoja