The Genius
JF-Expert Member
- May 29, 2018
- 820
- 2,070
Ilikua ni Jan 25 mwaka 2009, ndege aina ya Airbus A320 mali ya Us Airways chini ya captain Chelsey Burnett (captain Sully) ikiwa na abiria 155 kwenye uwanja wa ndege wa laGuardia uliopo mji wa Newyork city ilikua ipo tayari kwa safari ya kuelekea Charlotte Airport huko North Carolina
Ndege ikiwa kwenye runway captain Sully akai set throttle to 100% tayari kwa ajili ya kupaa, ndege ikaondoka lakin muda mfupi baada ya ndege ku takeoff (kuondoka) ikiwa angani ikavamiwa na kundi kubwa sana la ndege (birds) wakaingia kwenye engine zote za ndege , injini zote zikaharibika, licha ya kuwa ndege ilikua bado ipo karibu na airport lakin captain Sully alishindwa kuirudisha ndege kwaajili ya kufanya Emergency landing.
Alishindwa kurudi kwasababu ndege ilikua chini ya lowest safe altitude (LSALT) namaanisha ilikua chini ya 500 feet toka usawa wa bahari, ndege ikifeli injin na ikawa ipo kwenye anga la chini inakua ipo kwenye hatari zaidi kuliko iliyopo kwenye anga la mbali, ikiwa chini huwez kufanya Emergency landing maana inakushinda kuiongoza na inatafuta sehem ya kujipigiza tu.
Ndipo ikabidi Captain sully akiwa na msaidizi wake Jeffrey skiles ilibidi waielekeze ndege kwenye mto uliopo karibu na uwanja wa ndege unaojulikana kama Hudson River ambao upo kama miles 126 toka ilipo LaGuardia airport Mungu ni mwema alifanikiwa kufanya Ditching (kutua kwa dharura kwenye maji) ndege ilitua salama kwa dharura juu ya mto huo bila kuleta madhara yeyote na watu wote 155 walitoka salama, ni miaka 13 Sasa toka tukio hilo lilipo tokea, Captain sully kwa Sasa ni shujaa naeishi ana miaka 71 na atatimiza miaka 72 siku 5 zijazo yaani tarehe 23 January.
Mtanisamehe kwa uandishi mbaya.
Ndege ikiwa kwenye runway captain Sully akai set throttle to 100% tayari kwa ajili ya kupaa, ndege ikaondoka lakin muda mfupi baada ya ndege ku takeoff (kuondoka) ikiwa angani ikavamiwa na kundi kubwa sana la ndege (birds) wakaingia kwenye engine zote za ndege , injini zote zikaharibika, licha ya kuwa ndege ilikua bado ipo karibu na airport lakin captain Sully alishindwa kuirudisha ndege kwaajili ya kufanya Emergency landing.
Alishindwa kurudi kwasababu ndege ilikua chini ya lowest safe altitude (LSALT) namaanisha ilikua chini ya 500 feet toka usawa wa bahari, ndege ikifeli injin na ikawa ipo kwenye anga la chini inakua ipo kwenye hatari zaidi kuliko iliyopo kwenye anga la mbali, ikiwa chini huwez kufanya Emergency landing maana inakushinda kuiongoza na inatafuta sehem ya kujipigiza tu.
Ndipo ikabidi Captain sully akiwa na msaidizi wake Jeffrey skiles ilibidi waielekeze ndege kwenye mto uliopo karibu na uwanja wa ndege unaojulikana kama Hudson River ambao upo kama miles 126 toka ilipo LaGuardia airport Mungu ni mwema alifanikiwa kufanya Ditching (kutua kwa dharura kwenye maji) ndege ilitua salama kwa dharura juu ya mto huo bila kuleta madhara yeyote na watu wote 155 walitoka salama, ni miaka 13 Sasa toka tukio hilo lilipo tokea, Captain sully kwa Sasa ni shujaa naeishi ana miaka 71 na atatimiza miaka 72 siku 5 zijazo yaani tarehe 23 January.
Mtanisamehe kwa uandishi mbaya.