Captain john komba mzee toti yupo wapi na anafanya nini?mtujuze mnao jua aliko

MANGUNGO

JF-Expert Member
Aug 30, 2011
1,536
352
Arumeru tangu kampeni huyu mzee wa mipasho simuoni hata kumsikia!mzima kweli!hemu wana JF tujulishane aliko!sio kawaida!
 
nimemuona kama mara mbili hivi na magongo yake sijui naye kavunjwa mguu na mke wake?
 
tunataka kumuoa yeye,,chama chake si tayari kishahalalisha huu mpango wa waziri mkuu wa uingereza??
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom