kipanga mlakuku
Member
- Jun 9, 2011
- 92
- 53
Mambo yanazidi kukolea kuhusu sakata la Ricmond na Dowans mara baada ya waziri mkuu aliyejiuzulu kwa kashfa ya Richmond Bw Edward Lowassa kumtaka aliwahi kuwa Mkurugenzi wa TBC1 Bw Tido Mhando kuachia kipande cha mahojiano kinachodaiwa kunyofolewa makusudi kwa amri ya wakubwa ambacho kilifanyika katikati ya mwaka 2008 kati ya Tido Mhando na Edward Lowassa.
Hatua hii ya Lowassa inadaiwa kuchochewa zaidi na pressure ya waandishi kumtaka aeleze kuhusu kashfa hizo...................
Hatua hii ya Lowassa inadaiwa kuchochewa zaidi na pressure ya waandishi kumtaka aeleze kuhusu kashfa hizo...................