ISikhathi
Member
- Jan 18, 2018
- 59
- 36
Kubonga mina buthi.HABARI,
"ISikhathi,
ngiyabonga uNkulunkulu akubusise.
LUMUMBA
Kubonga mina buthi.HABARI,
"ISikhathi,
ngiyabonga uNkulunkulu akubusise.
LUMUMBA
Kubonga mina buthi.
Umbuzo usekudala kuze kube yilapho i-BBC ibike ukuthi ucape town uzobhekana nale nkinga.
Very expensive ,hii wanaweza dubai tuScientist wamekuwa akipiga kelele kuhusu rising Sea levels, halafu na Ukame.
Technology ya kufanya Sea water into fresh water ipo, in times like this, Sea water rising kwanini tusitumie hio technology ya kuyageuza kuwa fresh water? Japokuwa yatakuwa sio 100% mazuri for drinking, lakini yatasaidia kwa shughuli ambazo zinatumia maji mengi, kama kuosha vyombo, kuoga, na kadhalika.
Sijui watu hawafikirii au hili suala lina ugumu sana?
Mkuu, the government kwa wakati kama huo haitakiwi kutizama cost, itizame ni vipi inaweza kuwasaidia wananchi wake. Kosa kila kitu sio maji.Very expensive ,hii wanaweza dubai tu
Mkuu hiyo technology naona itakuwa ngumu sana kwa nchi za Africa kwa sababuScientist wamekuwa akipiga kelele kuhusu rising Sea levels, halafu na Ukame.
Technology ya kufanya Sea water into fresh water ipo, in times like this, Sea water rising kwanini tusitumie hio technology ya kuyageuza kuwa fresh water? Japokuwa yatakuwa sio 100% mazuri for drinking, lakini yatasaidia kwa shughuli ambazo zinatumia maji mengi, kama kuosha vyombo, kuoga, na kadhalika.
Sijui watu hawafikirii au hili suala lina ugumu sana?
Mkuu hiyo technology naona itakuwa ngumu sana kwa nchi za Africa kwa sababu
1.Very expensive sana manake iyo reverse osmosis inahitaji umeme wa kutosha na uhakika
2.Tatizo LA waste disposal bado ni changamoto sana kwa nchi za Africa. Iyo sludge inayozalishwa baada ya kusafisha maji (itakuwa ni chumvi ya kutosha) moja kwa moja itarudishwa baharini, hii ni hatari sana kwa viumbe hai waliopo majini
Israel ndiyo wanayoitumia sana hiyo technologyScientist wamekuwa akipiga kelele kuhusu rising Sea levels, halafu na Ukame.
Technology ya kufanya Sea water into fresh water ipo, in times like this, Sea water rising kwanini tusitumie hio technology ya kuyageuza kuwa fresh water? Japokuwa yatakuwa sio 100% mazuri for drinking, lakini yatasaidia kwa shughuli ambazo zinatumia maji mengi, kama kuosha vyombo, kuoga, na kadhalika.
Sijui watu hawafikirii au hili suala lina ugumu sana?
Kweli asee mchizi kazingua.Hivi kweli unadhani kule hakuna vichwa mbavyo vimefikiri zaidi ya hicho unachokisema? Ha ha ha haaa. Nimecheka sana eti unawashauri wasauzi ambao wanawaendeshea hata shirika la ndege