CHASHA FARMING
JF-Expert Member
- Jun 4, 2011
- 7,789
- 8,914
Kwa wale walio kuwa wanaulizia Canola Oil seeds kwa ajili ya majaribio, wale Wazungu wameleta mzigo wa kutosha kwa ajili yao na ila kuna ziada kiasi inaweza patikana kuuza kwa anaye hitaji. So kwa walioko maeneo ya Miinuko kama Arusha, Manyara, Kilimanjaro, Iringa, Mbeya, Njombe Mbeya na Morogoro pia. Pm