Canola Oil Sedds

CHASHA FARMING

JF-Expert Member
Jun 4, 2011
7,789
8,914
Kwa wale walio kuwa wanaulizia Canola Oil seeds kwa ajili ya majaribio, wale Wazungu wameleta mzigo wa kutosha kwa ajili yao na ila kuna ziada kiasi inaweza patikana kuuza kwa anaye hitaji. So kwa walioko maeneo ya Miinuko kama Arusha, Manyara, Kilimanjaro, Iringa, Mbeya, Njombe Mbeya na Morogoro pia. Pm
 

Attachments

  • FB_IMG_1656141419268.jpg
    FB_IMG_1656141419268.jpg
    134.8 KB · Views: 28
Sidhani Kama Kuna biashara hapa. Kama ipo basi anachagua wateja.
 
Wanunuaji walisha chukua mbona kitambo sana? haihitajiki sayansi ya kuunda Rocket kujua wanunuaji,
Usijali mkuu, nilishapata hapo Namanga kwa wakenya. Ila upo slow Sana na handling ya wateja wako ipo chini Sana.
 
Back
Top Bottom