Cancer ni fangus na inaeza kuzuilika.

Tanzanite klm

JF-Expert Member
May 7, 2013
453
376
Habarini za saa hizi wataalamu wa kufikiri, mada ninayotaka kuzungumzia leo ni kuhusu ugonjwa wa cancer ambao ndio unaoongoza kuuwa watu duniani sasa hivi mfano Marekani cancer ndio chanzo cha vifo vingi kuliko hata ajali za barabarani,.
Cancer tafiti nyingi zilifanyika sana na kuangalia kama kuna namna ya kuzuia lakini sasa ni biashara ya makampuni makubwa sana ambayo yanaingiza mabilion ya pesa,

Tukianza kuangalia Cancer wanazuoni na wana sayansi mbali mbali wanasema kuwa ni fangus lakini ni kitendo cha pale cell za mwili au kiungo flani zinapojizalisha bila utaratibu maalumu.
Cell za cancer hukua vizuri zaidi sehemu amabyo hakuna oxygen
pili cancer hukua vizuri zaidi katika PH ambayo ni ndogo maana yake ni under acidic medium.
kama tukicheza na izo variable mbili PH na kukosekana kwa oxygen ambazo hizo cell hukua vizuri basi kuna vitu tunaeza fanya tukazuia kapatwa na haya maradhi.
tufanye nini
1.tule vyakula ambavyo ni alkaline in nature kwa wingi zaidi
2.KUNYWA MAJI YENYE LIMAO ASUBUHI.limao kwa asili ni acid lakini likiingia kwenye mwili wa binadamu hubadilika na kuwa alkaline.,hivyo kwa kunywa maji yenye limao utaweza kuongeza PH ya damu na ivyo kutengeneza mazingira magumu sana kwa cell za cancer kukua na hata magonjwa mengine.
kwa ufupi magonjwa mengi na vijidudu vingi hukua ndani ya ph ndogo ambayo ni acidity.
tatu kufanya mazoezi kongeza oxygen mwilini.
NNE NI kula vyakula ambavyo ni vya asili amabvyo havijapigwa chemical nyingi.

warning.JIEPUSHE NA ULAJI WA KABICHI NI HATARI KWA AFYA YA MWILI YAKO
 
Kabichi ina madhara gani mkuu tafadhali tupe dondoo kidogo maana watoto wangu wanapenda sana hiyo mboga.
 
Kuna tafiti moja ilifanyika nchini Canada kuchunguza miongoni mwa visibabishi vya saratani barani Africa ni vyakula vibaya vyenye sumu moja wapo ni kabichi.ok how.
kabichi in mfumo mbaya kido wa ukuaji na kibichi huwa inashambuliwa sana na wadudu,sasa ili kuzuia wadudu wassile hupigwa dawa tangu ikiwa ndogo kabisa, na ikipigwa dawa plus namna inavyokuwa kwa kujifunga majani sasa ile sumu nayo inajifungia ndani, kabichi mpaka imekua kubwa unakuta ndani ya majani yake imejifunga na sumu mbali mbali amabyo iekua ikipigwa . sasa unakula kabichi pamoja na chemicals izo.
 
Habarini za saa hizi wataalamu wa kufikiri, mada ninayotaka kuzungumzia leo ni kuhusu ugonjwa wa cancer ambao ndio unaoongoza kuuwa watu duniani sasa hivi mfano Marekani cancer ndio chanzo cha vifo vingi kuliko hata ajali za barabarani,.
Cancer tafiti nyingi zilifanyika sana na kuangalia kama kuna namna ya kuzuia lakini sasa ni biashara ya makampuni makubwa sana ambayo yanaingiza mabilion ya pesa,
Tukianza kuangalia Cancer wanazuoni na wana sayansi mbali mbali wanasema kuwa ni fangus lakini ni kitendo cha pale cell za mwili au kiungo flani zinapojizalisha bila utaratibu maalumu.
Cell za cancer hukua vizuri zaidi sehemu amabyo hakuna oxygen
pili cancer hukua vizuri zaidi katika PH ambayo ni ndogo maana yake ni under acidic medium.
kama tukicheza na izo variable mbili PH na kukosekana kwa oxygen ambazo hizo cell hukua vizuri basi kuna vitu tunaeza fanya tukazuia kapatwa na haya maradhi.
tufanye nini
1.tule vyakula ambavyo ni alkaline in nature kwa wingi zaidi
2.KUNYWA MAJI YENYE LIMAO ASUBUHI.limao kwa asili ni acid lakini likiingia kwenye mwili wa binadamu hubadilika na kuwa alkaline.,hivyo kwa kunywa maji yenye limao utaweza kuongeza PH ya damu na ivyo kutengeneza mazingira magumu sana kwa cell za cancer kukua na hata magonjwa mengine.
kwa ufupi magonjwa mengi na vijidudu vingi hukua ndani ya ph ndogo ambayo ni acidity.
tatu kufanya mazoezi kongeza oxygen mwilini.
NNE NI kula vyakula ambavyo ni vya asili amabvyo havijapigwa chemical nyingi.

warning.JIEPUSHE NA ULAJI WA KABICHI NI HATARI KWA AFYA YA MWILI YAKO
Kansa kama haina formula vile ipo ipo tu... Kuna watu wanaishi vijijini wanakula vyema na mwili wa kazi lakini wanakufa na kansa...
 
Kuna tafiti moja ilifanyika nchini Canada kuchunguza miongoni mwa visibabishi vya saratani barani Africa ni vyakula vibaya vyenye sumu moja wapo ni kabichi.ok how.
kabichi in mfumo mbaya kido wa ukuaji na kibichi huwa inashambuliwa sana na wadudu,sasa ili kuzuia wadudu wassile hupigwa dawa tangu ikiwa ndogo kabisa, na ikipigwa dawa plus namna inavyokuwa kwa kujifunga majani sasa ile sumu nayo inajifungia ndani, kabichi mpaka imekua kubwa unakuta ndani ya majani yake imejifunga na sumu mbali mbali amabyo iekua ikipigwa . sasa unakula kabichi pamoja na chemicals izo.
Mkuu kama ni hvyo basi tupo hatarini sana, nyanya hupigwa, maharage, viazi vya chips hupigwa dawa sana iliviweze kukua kwa afya
 
mada bila picha hainogi
images (5).jpeg
 
PERFECT.

PERFECT. NITAELEZEA KUHUSU NGUVU YA AJABU YA VITUNGUU SWAUMU,ILIFIKA KIPINDI MIAKA YA ZAMANI KUNA WATU WALIVIABUDU. GARLIC NI DAWA MOJA MATATA SANA.WALE WENYE BAWASIRI NA MAGONJWA MENGI MNOOO IYO NI NZURI MNOO

Tunasubiri mkuu utueleze
 
Habarini za saa hizi wataalamu wa kufikiri, mada ninayotaka kuzungumzia leo ni kuhusu ugonjwa wa cancer ambao ndio unaoongoza kuuwa watu duniani sasa hivi mfano Marekani cancer ndio chanzo cha vifo vingi kuliko hata ajali za barabarani,.
Cancer tafiti nyingi zilifanyika sana na kuangalia kama kuna namna ya kuzuia lakini sasa ni biashara ya makampuni makubwa sana ambayo yanaingiza mabilion ya pesa,
Tukianza kuangalia Cancer wanazuoni na wana sayansi mbali mbali wanasema kuwa ni fangus lakini ni kitendo cha pale cell za mwili au kiungo flani zinapojizalisha bila utaratibu maalumu.
Cell za cancer hukua vizuri zaidi sehemu amabyo hakuna oxygen
pili cancer hukua vizuri zaidi katika PH ambayo ni ndogo maana yake ni under acidic medium.
kama tukicheza na izo variable mbili PH na kukosekana kwa oxygen ambazo hizo cell hukua vizuri basi kuna vitu tunaeza fanya tukazuia kapatwa na haya maradhi.
tufanye nini
1.tule vyakula ambavyo ni alkaline in nature kwa wingi zaidi
2.KUNYWA MAJI YENYE LIMAO ASUBUHI.limao kwa asili ni acid lakini likiingia kwenye mwili wa binadamu hubadilika na kuwa alkaline.,hivyo kwa kunywa maji yenye limao utaweza kuongeza PH ya damu na ivyo kutengeneza mazingira magumu sana kwa cell za cancer kukua na hata magonjwa mengine.
kwa ufupi magonjwa mengi na vijidudu vingi hukua ndani ya ph ndogo ambayo ni acidity.
tatu kufanya mazoezi kongeza oxygen mwilini.
NNE NI kula vyakula ambavyo ni vya asili amabvyo havijapigwa chemical nyingi.

warning.JIEPUSHE NA ULAJI WA KABICHI NI HATARI KWA AFYA YA MWILI YAKO
Ni kweli unachosema ndio maana

Phytoscience Tanzania

PhytoScience Tanzania

Kupitia bidhaa zake za

DOUBLE STEM CELL na
CRYSTAL CELL + SNOWPHYLL

zinazotumika kufanya msawazo au balance ya cell mwilini hivyo kuzuia na KUTIBU kansa KABISA

Kwa maelezo zaidi Unaweza kugoogle hizo bidhaa ujue ufanyaji wake kazi au
Pigs +255767831345
+255655731345
FB_IMG_1539180180316.jpg
 
Duuuuh kwanini tusile kabichi wakati ina faidi nyingi mwilini? Kama issue ni sumu what if tukisafisha sana kuondoa sumu?
 
Ni kweli unachosema ndio maana

Phytoscience Tanzania

PhytoScience Tanzania

Kupitia bidhaa zake za

DOUBLE STEM CELL na
CRYSTAL CELL + SNOWPHYLL

zinazotumika kufanya msawazo au balance ya cell mwilini hivyo kuzuia na KUTIBU kansa KABISA

Kwa maelezo zaidi Unaweza kugoogle hizo bidhaa ujue ufanyaji wake kazi au
Pigs +255767831345
+255655731345
View attachment 920414
Lipia tangazo boya ww
 
Habarini za saa hizi wataalamu wa kufikiri, mada ninayotaka kuzungumzia leo ni kuhusu ugonjwa wa cancer ambao ndio unaoongoza kuuwa watu duniani sasa hivi mfano Marekani cancer ndio chanzo cha vifo vingi kuliko hata ajali za barabarani,.
Cancer tafiti nyingi zilifanyika sana na kuangalia kama kuna namna ya kuzuia lakini sasa ni biashara ya makampuni makubwa sana ambayo yanaingiza mabilion ya pesa,
Tukianza kuangalia Cancer wanazuoni na wana sayansi mbali mbali wanasema kuwa ni fangus lakini ni kitendo cha pale cell za mwili au kiungo flani zinapojizalisha bila utaratibu maalumu.
Cell za cancer hukua vizuri zaidi sehemu amabyo hakuna oxygen
pili cancer hukua vizuri zaidi katika PH ambayo ni ndogo maana yake ni under acidic medium.
kama tukicheza na izo variable mbili PH na kukosekana kwa oxygen ambazo hizo cell hukua vizuri basi kuna vitu tunaeza fanya tukazuia kapatwa na haya maradhi.
tufanye nini
1.tule vyakula ambavyo ni alkaline in nature kwa wingi zaidi
2.KUNYWA MAJI YENYE LIMAO ASUBUHI.limao kwa asili ni acid lakini likiingia kwenye mwili wa binadamu hubadilika na kuwa alkaline.,hivyo kwa kunywa maji yenye limao utaweza kuongeza PH ya damu na ivyo kutengeneza mazingira magumu sana kwa cell za cancer kukua na hata magonjwa mengine.
kwa ufupi magonjwa mengi na vijidudu vingi hukua ndani ya ph ndogo ambayo ni acidity.
tatu kufanya mazoezi kongeza oxygen mwilini.
NNE NI kula vyakula ambavyo ni vya asili amabvyo havijapigwa chemical nyingi.

warning.JIEPUSHE NA ULAJI WA KABICHI NI HATARI KWA AFYA YA MWILI YAKO
Non Scientific junk!
 
Kwenye swala LA kunywa maji yenye limao nakuunga mkono kwa asilimia mia mim nilikua na ph5 nikawa navidonda kwenye lips za mdomo Leo ni wiki na siku tank nakunywa maji ya vuguvugu yenye limao na vidonda vyoote vimekauka kabisaa pia nakunywa maji yenye vitunguu swaum...Ila ktk kabichi apo mmmh namashaka
 
Back
Top Bottom