gwakipanga
JF-Expert Member
- Dec 1, 2011
- 795
- 636
Sijui haki zipi za binadau zinazo zidi zile za kuwaachanicha watoto na wazazi wao, inawakamata wazaz,i watoto wanateseka mko kimya kama hamjui kinachoendele marekani. Mbona amtuambia kuhusu marekati kuwatesa watoto kwa makosa ya wazazi wao.