Uchaguzi 2020 Canada wataka uchunguzi ufanyike dhidi ya waliokiuka haki za binadamu katika Uchaguzi Mkuu 2020

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Aug 24, 2011
49,095
103,334
Disturbed by reports of arrests and violence against political candidates and supporters. Protection of civilians is essential for peace and stability. Canada calls on the government of Tanzania to investigate and prosecute those who have violated human rights.

Canada.JPG
 
Kwa watanzania wenzangu wote.

i). Je, kadri demokrasia ya vyama vingi inavyozidi kuenea mataifa mbalimbali ni nani anayenufaika?
ii). Je, kwa kumjua mnufaika huoni unaikanyaga ardhi yako kupigania maslahi ya taifa la wenzio?
iii). Je, kwakuwa umeshaujua werevu utajilazimisha kuendelea kuufanya ujinga?



MAGUFULI4LIFE.
Mwenye masikio na asikie na mwenye macho aone.
 
Back
Top Bottom